NACTE yaongeza muda wa application kwa DEGREE hadi October 16;

NACTE yaongeza muda wa application kwa DEGREE hadi October 16;

Yesterday at 9:18am
National Council for Technical Education
(NACTE)
Hiyo utaitumia endapo utahitajika kubadili
machaguo kama hutopata yale uliochagua.
6 hours ago · Sent from Mobile
Se
mm nineandikiwa futa machaguo(reset choices) msaada hapo wadau
 
Waungwana hakuna aliyewasiliana na Nacte juu ya suala hili maana kutwa nzima Leo nmewatafuta simu yao haipokelewi mara haipatikan!!?
 
Yesterday at 9:18am
National Council for Technical Education
(NACTE)
Hiyo utaitumia endapo utahitajika kubadili
machaguo kama hutopata yale uliochagua.
6 hours ago · Sent from Mobile
Se
Waungwana hakuna aliyewasiliana na Nacte juu ya suala hili maana kutwa nzima Leo nmewatafuta simu yao haipokelewi mara haipatikan!!?
 
Jamani hyo reset choice itumieni kwa makini kwani udahili bado unaendelea. Haina maana kuwa umekosa chuo
 
Jamani hyo reset choice itumieni kwa makini kwani udahili bado unaendelea. Haina maana kuwa umekosa chuo

kwel kabisa fanya kureset kama unaona kuna chuo ulikisahau labda au taka kubadili priorities kama unaona uko sahihi acha hivyo hivyo
 
Sililizeni wakuu ipo ivi,ukiona umeandikiwa reset kwa red unatakiwa ufanye machaguo tena sababu nacte washafanya selection japo awajayatoa wanataka watoe batch one na two kwa pamoja,waliokosa wameambiawa reset ivyo ukiacha kureset unaweza ukakaa benchi mwaka mzima,tumieni Muda huu kureset wakuu japo vyuo vitapungua na faculty nzuri zitakua full,izi habari Ni za ukweli wala sio za kutunga,Kila La kheri wakuu
 
Sililizeni wakuu ipo ivi,ukiona umeandikiwa reset kwa red unatakiwa ufanye machaguo tena sababu nacte washafanya selection japo awajayatoa wanataka watoe batch one na two kwa pamoja,waliokosa wameambiawa reset ivyo ukiacha kureset unaweza ukakaa benchi mwaka mzima,tumieni Muda huu kureset wakuu japo vyuo vitapungua na faculty nzuri zitakua full,izi habari Ni za ukweli wala sio za kutunga,Kila La kheri wakuu

ushaur wako ni mzur mkuu japo una ukakasi,kwa kila mtu ktk profile yake pale chni baada ya kozi alizochakugua kuna option tatu ikiwemo kuset,na kureset imewekewa colour nyekundu ikimaanisha sehem hyo utaibonyeza tu pale ambapo utaona uchaguz wa kozi Au Chuo Hukufanya Sahih,na Hvyo Utaweza Kui2mia.Lakin Kama Ulifanya Uchaguz Ambao Ni Sahihi,tafadhar Bora Uache Kama Ulivyo,si Vyema Usijifanye Fundi.Na Uzuri Endapo Kama Profile Yako Haina Shida Nacte Hukupa Taarifa Kukupongeza Mara Tu Unapo Sign In Kwenye Profile Yako,
 
ushaur wako ni mzur mkuu japo una ukakasi,kwa kila mtu ktk profile yake pale chni baada ya kozi alizochakugua kuna option tatu ikiwemo kuset,na kureset imewekewa colour nyekundu ikimaanisha sehem hyo utaibonyeza tu pale ambapo utaona uchaguz wa kozi Au Chuo Hukufanya Sahih,na Hvyo Utaweza Kui2mia.Lakin Kama Ulifanya Uchaguz Ambao Ni Sahihi,tafadhar Bora Uache Kama Ulivyo,si Vyema Usijifanye Fundi.Na Uzuri Endapo Kama Profile Yako Haina Shida Nacte Hukupa Taarifa Kukupongeza Mara Tu Unapo Sign In Kwenye Profile Yako,

Siyo kila mtu. Kwenye profile yangu hakuna reset wala button nyekundu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom