NACTE yaongeza muda wa application kwa DEGREE hadi October 16;

NACTE yaongeza muda wa application kwa DEGREE hadi October 16;

aliyekutana na hiki anipe jibu namna ya kufanya kimenitokea baada ya kuclik Futa machaguo(reset choice) ni yale maandishi mekundu!!
 

Attachments

  • 1443449581470.jpg
    1443449581470.jpg
    38 KB · Views: 276
aliyekutana na hiki anipe jibu namna ya kufanya kimenitokea baada ya kuclik Futa machaguo(reset choice) ni yale maandishi mekundu!!

Ndugu apo watakua wamekupa option uchague upya au uache hivyo hivyo na ktk kuchagua upya huenda ktk hizo nafasi zilizopo ulizochagua labda zingine zimejaa na haujachaguliwa hivyo ukifanya choice upya baadhi ya vyuo ambavyo vimejaa vitatoweka na ikiwezekana ata baadhi ya course zilizojaa zitatoweka hivyo ukifanya choice upya huna budi kukubaliana na vyuo na course utakazozikuta. Na kuna uwezekano ni lazima ufanye machaguo upya huenda selection zao za mwanzo hukua selected ndio maana wanakupa hizo option, lakini ni mawazo yangu tu labda watu wanaofahamu zaidi watujuze au wapigie nacte
 
Ndugu apo watakua wamekupa option uchague upya au uache hivyo hivyo na ktk kuchagua upya huenda ktk hizo nafasi zilizopo ulizochagua labda zingine zimejaa na haujachaguliwa hivyo ukifanya choice upya baadhi ya vyuo ambavyo vimejaa vitatoweka na ikiwezekana ata baadhi ya course zilizojaa zitatoweka hivyo ukifanya choice upya huna budi kukubaliana na vyuo na course utakazozikuta. Na kuna uwezekano ni lazima ufanye machaguo upya huenda selection zao za mwanzo hukua selected ndio maana wanakupa hizo option, lakini ni mawazo yangu tu labda watu wanaofahamu zaidi watujuze au wapigie nacte

Nacte simu zao huwa kazi xana kupokelwwa ngoja nijarbu kuwasiliana nao!.
 
Nacte simu zao huwa kazi xana kupokelwwa ngoja nijarbu kuwasiliana nao!.

Watafute muda mzuri mapema mapema mfano kuanzia saa tatu asubuhi then baada ya lunch kuanzia saa nane hadi saa kumi hivi
 
Naombeni ni ulize iv kwa watu wanaotoka diploma wanapata mikopo? maana kuna wengine wanasema mikopo inatolewa kwa wanaotoka f6 plz anaejua
 
Naombeni ni ulize iv kwa watu wanaotoka diploma wanapata mikopo? maana kuna wengine wanasema mikopo inatolewa kwa wanaotoka f6 plz anaejua

yap wanapata ila ukumbuke mkopo ni vigezo ndo vina zngatiwa na budgeti.
 
Naombeni ni ulize iv kwa watu wanaotoka diploma wanapata mikopo? maana kuna wengine wanasema mikopo inatolewa kwa wanaotoka f6 plz anaejua

Ingia bodi ya mikopo kuna maelekezo pale wameyaweka hasa kuna kigezo cha waliomaliza zamani zaidi ya miaka waliyoiweka wenyewe hao hawana sifa ya kupewa sijui kama hii bado wanaifuatilia
 
jamani hii imekaa vp,! Ndo kusema baada ya tareh 16 Oct ndo watoe selections,! au,!?
Tujulishane jaman wana JF maana dah,? tumesubiri sana na wenzetu fleshers TCU mambo yako poa,! sie tuliopitia NACTE inakuaje wadau,!
mbona watu washaanza kuchaguliwa mkuu....nna washkaj zangu tumemaliza diploma Arusha Tech mmoja kapangiwa electrical st joseph na wengine wawli udom...
muwe mnaangalia haya majina wanayotoa vyuoni wakuu.
 
mbona watu washaanza kuchaguliwa mkuu....nna washkaj zangu tumemaliza diploma Arusha Tech mmoja kapangiwa electrical st joseph na wengine wawli udom...
muwe mnaangalia haya majina wanayotoa vyuoni wakuu.

Sio kwamba watu hawachaguliwa ila officially uwa nacte wanaweka watu waliokua selected sasa hivi ayo majina vyuo vingi bado hawajayaweka ayo majina kwenye website zao bali ni vyuo vichache ila hizo habari zilishavuja ndio watu wakawa wanazirusha watu wanaangalia. So muda kidogo tu kila kitu kitakua wazi
 
vp kwa hili wadau!! mwenye kujua tnaomba ufafanuzi?? linafanywaje??
 
iv wanavoongeza muda wat about walioapply mwanzoni sana inamaana watatoa waliopata au watasubr mpk iyo tar 16 awa wanatuchanganya tu sa iz
 
iv wanavoongeza muda wat about walioapply mwanzoni sana inamaana watatoa waliopata au watasubr mpk iyo tar 16 awa wanatuchanganya tu sa iz

kwan mwaka u tcu na nacte wte wameuza kad za kuomb chuo imekaaje h mxaada pleax kuna dg hjaaply mpka leo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom