NACTE yaongeza muda wa application kwa DEGREE hadi October 16;

NACTE yaongeza muda wa application kwa DEGREE hadi October 16;

biliQ

Member
Joined
Sep 15, 2015
Posts
32
Reaction score
7
jamani hii imekaa vp,! Ndo kusema baada ya tareh 16 Oct ndo watoe selections,! au,!?
Tujulishane jaman wana JF maana dah,? tumesubiri sana na wenzetu fleshers TCU mambo yako poa,! sie tuliopitia NACTE inakuaje wadau,!
 
Jamani selection zishatoka kwenye vyuo husika mi mdogo wangu kapangiwa chuo cha maji katokea diploma.
 
Watu wa diploma baadhi tuko in service, lakin hawa waheshimiwa wame-extend sana muda,,
Nahis wangetoa selection round ya kwanza, then hiyo deadline tar 16 Oct ikawa 2nd round,,,
Lakin ngoja tuvumilie,,,
 
Hii nadhani kwa wale wanaoanza kuomba kipindi hiki
 
Hii nadhani kwa wale wanaoanza kuomba kipindi hiki

Sasa mbona ata ao walioomba mwanzo hawajatoa selection, walipaswa watoe batch ya walioomba mwanzo na hawajaingia katika marekebisho. Wanakosea sana
 
basi itakuwa njema kama hiyo tareh ni kwa new applicants,,,,
 
xo mm nimeandikiwa futa anza upya(continue Application) kwenye profile yangu afu wala sielewi nianzeje upya wakati sjui nilichokosea!! msaada kwa Anaefahamu!!
 
Wamekuwekea sehemu ya kuchagua
programme?
 
Ingekuwa kwa wote wangerudisha ile sehemu ya kuedit programmes.Kama hawajaweka hivyo it means umechaguliwa katika chuo kimojawapo kati ya ulivyoomba,jambo la msingi ni kuingia kwenye web za vyuo kuangalia kama watakuwa wameshachagua wanafunzi.Haina haja ya kuogopa
 
wameniandkia hivyo je nifanyaje?? Je nikianza upya system haiwezi kunikatalia MSAADA WANA JF??
 

Attachments

  • 1443447913966.jpg
    1443447913966.jpg
    47.8 KB · Views: 375
Hapo nadhani wanakutaka uapply tena.Mm hawajaniwekea hivyo.Nacte wameshindwa kuweka wazi kama tcu
 
Mi pia hakuna mabadiliko yoyote kwenye profile. Vp watu wa diploma waliopata nafasi udsm waliomba kupitia nacte pia? Kuna nafas chache nimeona wamepata.
 
wameniandkia hivyo je nifanyaje?? Je nikianza upya system haiwezi kunikatalia MSAADA WANA JF??

Je ulikua mmoja wa wale waliokua wamiss baadhi vyeti au? Maana wengine ambao hawakua ktk yale marekebisho mbona hawana hiyo red color ya kuomba ufute
 

Attachments

  • 1443449130925.jpg
    1443449130925.jpg
    52.2 KB · Views: 318
  • 1443449151058.jpg
    1443449151058.jpg
    68.8 KB · Views: 295

Similar Discussions

Back
Top Bottom