Jmani napenda kuuliza kwa wale walioomba kubadilishiwa course Na chuo nawakatumiwa ujumbe toka nacte kuwa wamefanikiwa kubadilisha chuo/course
Je ni taar wameshachaguliwa mojamoja kwenye chuo husika inatakiwa wasubiri joining instruction au kuna njia nyingine za kufuataa ??
Msaada wenu jamni kwa anaejua
Je ni taar wameshachaguliwa mojamoja kwenye chuo husika inatakiwa wasubiri joining instruction au kuna njia nyingine za kufuataa ??
Msaada wenu jamni kwa anaejua