Trichuris Trichura
Member
- Sep 26, 2014
- 82
- 22
Hapana kaka chuo utapata! Natoka nacte hivi ni kweli form zipo nyingi so wamezipanga kimafungu mafungu nadhani kwa kila chuo so zinafanyiwa kazi, kwa mujibu wa mdau pale kaniambia hadi j5 wote ambao hamjapata mchek profile. Ikifika alhamis hajabadilishiwa basi ujue umekosa so uende chuo cha mwanzo. Nilichoona pale ni kwamba kuna baadhi ya vyuo waombaji ni wengi sana so itategemea na nafasi. Ila kwakua fomu yako unasema ilikua na barua ya chuo basi kidogo inakua na uhai flani. Hope utapata.
Mmmmmmh may be tuombe mungu ila mi binafsi naona mfumo huu wa CAS bado una changa moto nyingi
anyway tuwaachie wao mwisho wa siku wataamua