NACTE mnatuumiza jamani

NACTE mnatuumiza jamani

Mpatanishi

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2011
Posts
1,811
Reaction score
623
Habari wakuu. Sisi tuliopata vyuo wengine tuliomba transfer na tayari profile zetu zimeonesha kwamba tayari tumeshahamishwa.

Nimekwenda kuripoti chuo kipya nilichopangiwa naambiwa jina halipo hivyo wanasubir tcu watume majina. Wiki ya pili sasa inakatika hayo majina hayajafika chuo mbaya zaidi watu wamesha anza masomo.

Tunaumia kwa kweli na sioni sababu kwa nini majina yasipelekwe kwa wakati ukizingatia sasa hivi tupo zama za digital.

Hivi inawachukua wiki ngapi hayo majina kutoka pale nacte mwenge hadi udsm! Wekeni hata tangazo kwamba tunachotakiwa kufanya ni kitu gani kwa sasa mana vyuo havitutambui na hatujui tufanye nini.
 
Sijajua kama nacte wametoa majibu ya transfer ila tcu ndio wametoa,kwani nacte wametoa lini jamaa?
 
hata Mimi iko vile vile naona wanataka wasome wao wenyewe mwaka huu

wametoa majina ya transfer as 1st round, wanaendelea kuhamisha nadhani hadi J3 watatoa mengine. Utata ni kwamba majina yatafika chuo lini?mana wengine wamesha anza masomo.
 
wametoa majina ya transfer as 1st round, wanaendelea kuhamisha nadhani hadi J3 watatoa mengine. Utata ni kwamba majina yatafika chuo lini?mana wengine wamesha anza masomo.

hayo majina yanapatikana wapi Mpatanishi maana web yao ina matangazo active mawili tu
 
Last edited by a moderator:
Aisee me sijui tutafnyaje na registration mwsho n trh 31.
 
Mtu kama hana shida wala hawezi kujua ni kiasi gani wenzake wanaumia...nacte are not serious at all.
 
Unaangalia kwenye profile yako mkuu

Duuuuh hii ni ngumu kumeza kiongozi

nimeangalia leo asubuhi still iko vile vile na cha kushangaza mwanzo walini email kua niwasiliane na chuo ninachotaka kwenda wanipe barua then niwapelekee nikaenda bugando na niakapatiwa barua na nikajaza transfer form as well nikapeleka vyote kwa pamoja lakini hadi leo hata kwenye Fb page yao hawatoi updates tena cjui ndio imeshakula

Mungu asaidie tu
 
Hata kama umeenda vyuo husika vie vile unaweza ukakosa hiyo transfer jins wanavyodai wao .Wanasema wanamkubalia mtu kufnya transfr kutokan na slots zilizobaki na kama mpo weng na slots n chache mtashindanishwa kupata hizo nafas.
 
Hiv ukienda chuo ulichochaguliwa mwanzo siwatakukataa kama ulifanya transfer au
 
Duuuuh hii ni ngumu kumeza kiongozi

nimeangalia leo asubuhi still iko vile vile na cha kushangaza mwanzo walini email kua niwasiliane na chuo ninachotaka kwenda wanipe barua then niwapelekee nikaenda bugando na niakapatiwa barua na nikajaza transfer form as well nikapeleka vyote kwa pamoja lakini hadi leo hata kwenye Fb page yao hawatoi updates tena cjui ndio imeshakula

Mungu asaidie tu

Hapana kaka chuo utapata! Natoka nacte hivi ni kweli form zipo nyingi so wamezipanga kimafungu mafungu nadhani kwa kila chuo so zinafanyiwa kazi, kwa mujibu wa mdau pale kaniambia hadi j5 wote ambao hamjapata mchek profile.

Ikifika alhamis hajabadilishiwa basi ujue umekosa so uende chuo cha mwanzo. Nilichoona pale ni kwamba kuna baadhi ya vyuo waombaji ni wengi sana so itategemea na nafasi.

Ila kwakua fomu yako unasema ilikua na barua ya chuo basi kidogo inakua na uhai flani. Hope utapata.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom