NACTE mlisema Leo mnafungua udahili mbona kimya

NACTE mlisema Leo mnafungua udahili mbona kimya

MP CHACHANDU

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2016
Posts
875
Reaction score
616
Leo 23/01/2017 nacte walisema watafungua dirisha la udahili kwa ngazi ya cheti na diploma mpaka sasa hivi kwenye website yao hakuna jipya matangazo ni ya mwaka Jana tu na hata guide book hawajatoa ya mwaka wa masomo huu 2017/18 .

Nacte msitufanye sisi hatuna akili hii taasisi ina ubabaishaji sana.
 
haaa watu wanataka kwenda m diploma wapate mkopo wajameni haya mazaga lakini tarehe zitabadilishwa angani
 
Leo 23/01/2017 nacte walisema watafungua dirisha la udahili kwa ngazi ya cheti na diploma mpaka sasa hivi kwenye website yao hakuna jipya matangazo ni ya mwaka Jana tu na hata guide book hawajatoa ya mwaka wa masomo huu 2017/18 .

Nacte msitufanye sisi hatuna akili hii taasisi ina ubabaishaji sana.
Ndo kwanza january siku haijaisha wanaweza toa hata saa tano usiku bado wako sahihi
 
wemetoa ila sijaona kama kuna primary education vipi INAKUAJE? au ndio walimu wamejaa?
 
unalipa ELFU 20 kama kawaida
Kuna kitu nataka kufanya, nataka kubadilisha fani! Nikiomba system itanikubali maana sasa niko chuoni nilichaguliwa mwaka jana! Is this possible au ni kwa wale ambao hawakujisajili mwaka jana
 
hakuna time schedule wanaweza sema leo kumbe wiki ijayo.
 
guys kwa mlio isoma guide book ya course za afya by nacte mbona radiography si ioni au mwaka huu awachuki au ufafanuzi kwa anaejua juu ya hilo.
 
Msaada
Nahitaj kuacha course nisomayo kwa sasa na kuchukua course nyingine vipi nitachaguliwa au itakua vumbi tu
 
Back
Top Bottom