kimaus
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 565
- 652
Kuna kijana wangu anasoma katika moja ya vyuo vya afya vinavyosimamiwa na NACTE.
Baada ya mitihani ya mwaka wa pili kuvuja mwaka jana na kurudiwa, matokeo yametoka.
Sasa kitu ambacho naona si cha kiungwana ni uamuzi wa wa NACTE kutowapa watoto waliofail baadhi ya masomo mitihani ya Supplementary ili waweze ku clear na kuendelea mwaka wa tatu na wa mwisho, badala yake wale wote ambao either amefeli somo moja au mawili, wametakiwa KURUDI NYUMBANI mpaka mwezi wa nane (August) mwaka huu ndipo waje wafanye mitihani waliyofail pamoja na wanafunzi wa mwaka wa pili wa mwaka huu. Maana yake watoto hawa wanapoteza mwaka mzima kwa kufeli somo moja au mawili?
Sijajua kama ndio sheria yao NACTE au ni utaratibu tu, lkn vyovyote vile utaratibu huu sio MZURI.
NACTE haiwezi kutunga mitihani ya marudio?
Watoto wapoteze mwaka nyumbani kwa kufeli somo moja?
Mzazi unajua mtoto wako anamaliza mwaka huu, lkn mtoto anarudi nyumbani kukaa miezi 8 kusubiri mtihani mmoja, then ndiyo aendelee.
This is not right. Kama kuna mahali nimekosea NACTE watoe ufafanuzi, lkn kwa kweli huu utaratibu sio mzuri.
Baada ya mitihani ya mwaka wa pili kuvuja mwaka jana na kurudiwa, matokeo yametoka.
Sasa kitu ambacho naona si cha kiungwana ni uamuzi wa wa NACTE kutowapa watoto waliofail baadhi ya masomo mitihani ya Supplementary ili waweze ku clear na kuendelea mwaka wa tatu na wa mwisho, badala yake wale wote ambao either amefeli somo moja au mawili, wametakiwa KURUDI NYUMBANI mpaka mwezi wa nane (August) mwaka huu ndipo waje wafanye mitihani waliyofail pamoja na wanafunzi wa mwaka wa pili wa mwaka huu. Maana yake watoto hawa wanapoteza mwaka mzima kwa kufeli somo moja au mawili?
Sijajua kama ndio sheria yao NACTE au ni utaratibu tu, lkn vyovyote vile utaratibu huu sio MZURI.
NACTE haiwezi kutunga mitihani ya marudio?
Watoto wapoteze mwaka nyumbani kwa kufeli somo moja?
Mzazi unajua mtoto wako anamaliza mwaka huu, lkn mtoto anarudi nyumbani kukaa miezi 8 kusubiri mtihani mmoja, then ndiyo aendelee.
This is not right. Kama kuna mahali nimekosea NACTE watoe ufafanuzi, lkn kwa kweli huu utaratibu sio mzuri.