NACTE mlichowafanyia watoto wa kimasikini sio Haki

Mzee hakuna nilipokutukana..toa maoni kiistarabu ukweli utabaki hivyo hivyo hata hizo pepa kuvuja zimetoka huko huko private wao hawaangalii ubora wao ni kufaulisha na GPA za kubumba wanafunzi vilaza.
Taarifa ya kamati ya Uchunguzi iliyoundwa na Wizara imebaini kuwa chanzo cha kuvuja kwa mitihani hiyo ni kutoka kwa moja ya mtumishi wa idara ya mafunzo ambaye alituma mwongozo wa majibu (answer guides) kwa mmoja ya ndugu yake anayesoma katika moja ya Chuo cha Utabibu cha Serikali COTC), japo katika taarifa waliyoiwasilisha kwa Wizara wamebadili na kuhusisha baadhi ya Vyuo vya Serikali kama chanzo cha kuvuja kwa mitihani. Aidha imebainika kwamba takribani mitihani yote imevuja na sio hii iliyofutwa pekee.

Inapatikana hapa JF ni hii hapa


Aibu vyuo vya Serikali vya Afya!!!!
 
Sasa mwanao kam ni kilaza siumtafutie shamba mpe mtaji ajiajir usilazimishe aendelee tu kusoma wakat kichwan hamnazo, kwann afeli kwanza na utake upate mlango wa pili wa kutokea?
Kupata Supplementary siyo ujinga ndugu! Kuna sababu mbalimbali ambazo zinampelekea mtu kufeli mtihani, ndiyo maana kuna kurudia mtihani kuanzia NECTA mpaka vyuo!
 
Kwamba wanaofanya mtihani ya NACTE ni masikini?huu upumbavu wa Watu kujificha kwenye neno umasikini unachefua sana
 
Huna akili maana hujui kuwa pamoja na CA bado kuna technical supplementary ili kuondoa CA za kubumba. Acha kuleta vitu vya vijiweni hapa.
Powa mwenye akili kapige GPA ya 5 na vyuo vyenu vya uchochoroni
 
Kuna kijana wangu anasoma katika moja ya vyuo vya afya vinavyosimamiwa na NACTE.

Baada ya mitihani ya mwaka wa pili kuvuja mwaka jana na kurudiwa, matokeo yametoka.

Sasa kitu ambacho naona si cha kiungwana ni uamuzi wa wa NACTE kutowapa watoto waliofail baadhi ya masomo mitihani ya Supplementary ili waweze ku clear na kuendelea mwaka wa tatu na wa mwisho, badala yake wale wote ambao either amefeli somo moja au mawili, wametakiwa KURUDI NYUMBANI mpaka mwezi wa nane (August) mwaka huu ndipo waje wafanye mitihani waliyofail pamoja na wanafunzi wa mwaka wa pili wa mwaka huu. Maana yake watoto hawa wanapoteza mwaka mzima kwa kufeli somo moja au mawili?

Sijajua kama ndio sheria yao NACTE au ni utaratibu tu, lkn vyovyote vile utaratibu huu sio MZURI.

NACTE haiwezi kutunga mitihani ya marudio?

Watoto wapoteze mwaka nyumbani kwa kufeli somo moja?

Mzazi unajua mtoto wako anamaliza mwaka huu, lkn mtoto anarudi nyumbani kukaa miezi 8 kusubiri mtihani mmoja, then ndiyo aendelee.

This is not right. Kama kuna mahali nimekosea NACTE watoe ufafanuzi, lkn kwa kweli huu utaratibu sio mzuri.
elimu yetu ni tatizo hasa wanaotutawala sasa hivi wamekuja tena na kitu kinaitwa NACTEVET yaani ni virugu tupu alimradi kila waziri aache lidude flani kwenye utawala wake
 
Kuna kijana wangu anasoma katika moja ya vyuo vya afya vinavyosimamiwa na NACTE.

Baada ya mitihani ya mwaka wa pili kuvuja mwaka jana na kurudiwa, matokeo yametoka.

Sasa kitu ambacho naona si cha kiungwana ni uamuzi wa wa NACTE kutowapa watoto waliofail baadhi ya masomo mitihani ya Supplementary ili waweze ku clear na kuendelea mwaka wa tatu na wa mwisho, badala yake wale wote ambao either amefeli somo moja au mawili, wametakiwa KURUDI NYUMBANI mpaka mwezi wa nane (August) mwaka huu ndipo waje wafanye mitihani waliyofail pamoja na wanafunzi wa mwaka wa pili wa mwaka huu. Maana yake watoto hawa wanapoteza mwaka mzima kwa kufeli somo moja au mawili?

Sijajua kama ndio sheria yao NACTE au ni utaratibu tu, lkn vyovyote vile utaratibu huu sio MZURI.

NACTE haiwezi kutunga mitihani ya marudio?

Watoto wapoteze mwaka nyumbani kwa kufeli somo moja?

Mzazi unajua mtoto wako anamaliza mwaka huu, lkn mtoto anarudi nyumbani kukaa miezi 8 kusubiri mtihani mmoja, then ndiyo aendelee.

This is not right. Kama kuna mahali nimekosea NACTE watoe ufafanuzi, lkn kwa kweli huu utaratibu sio mzuri.
Ndugu Kwa level ya chuo hivyo vitu ni kawaida, Hiv ukifel necta wanakiandalia mtihan spesho au unasubir mtihan unaofuata mwaka mwingne.. nenda chuo kikuu mwanfunzi anaweza kufel Somo Moja akaja kulirudia baada ya miez nane.
Kuwa mstahimilivu mkuu asubir wakT muafaka.
 
Back
Top Bottom