Najiuliza hivi no ambazo NACTE mmeziweka kwamba tukiwa na matatizo tupige ni mapambo tu au sio kwa ajili ya kutusaidia sisi?
Haiwezekani nikipiga mara hazipatikani na zikipatikana hazipokelewi.
Je! Mnataka wote tuje ofisini? Hata wa mikoani tuje ofisini?
Email hamjibu, simu hampokei kwa nini?
Haiwezekani nikipiga mara hazipatikani na zikipatikana hazipokelewi.
Je! Mnataka wote tuje ofisini? Hata wa mikoani tuje ofisini?
Email hamjibu, simu hampokei kwa nini?