Naconfess

Naconfess

sishaurigi watu kama wewe hata kiswahili unatia swaga za kizee na ukicheza utagegedwa wewe na huyo rafikio pathetic

MKUU NIVEA hv neno SWAGA nikiswahili?? kabla hujamkosoa mtu hakikisha na ww upo safi
 
ahahahahahaaaaaaaaaaaaaaa_dawa sio kutomwamini mkuu,...dawa siku ukihisi tu unaibiwa unammwaga chap_kabla hajaleta madhara ya madharau na presha.

hahahahahaha mkuu wengne tukipenda twapenda haswa hata ukiniambia mke wangu anatabia mbaya nitaona ni majungu tu tena ntaenda kumwambia fulani kaniambia unatabia mbaya chezea maku wewe
 
hahahahahaha mkuu wengne tukipenda twapenda haswa hata ukiniambia mke wangu anatabia mbaya nitaona ni majungu tu tena ntaenda kumwambia fulani kaniambia unatabia mbaya chezea maku wewe


hapo ndipo wanapowapelekesha sasa_na hasa nyie mliosoma academy you are so..so..soft_sijui kwanini mwanangu wa kiume nimempeleka huko....sisi huku kwetu uswazi tuko strong i.e we love and reason.
 

shemeji shemeji huku mwazima taaaa loooolz!!
badala umuache demu wa mwenzio eti unataka umwambie
halafu iweje,utakatwa dushe wewe jishaue tu!!
 
Aise wewe...! umetegwa ukategeka...! unaenda kumsemea shemeji yako au kujisemea!??
 
MKUU kiukwel hata me nafsi yangu inanisuta NAJUTIA kiukwel kumuoa cwez me nina mchumba wangu na yy analitambua hlo lakn bado kaniganda
Are you for real?! Basically, what you are saying is "its not your fault, its all her fault" Anakuganda, alikutega, anajua una mchumba etc etc. As the saying goes "you two deserve each others". Nawasikitia sana hao wapenzi wenu!
 
....kwa hiyo tatizo hasa ni nini?kumuacha huyo damu wa best yako au kumwambia rafiki yako kuwa ulimmegea dame wake?
 
ntajiepushaje soma post kama hizi mida hii nnapokua nimechoka na stress za kazi.!!?
Tunaongezeana stresss
 
Sasa huyo best wako hope ana mawasiliano yako na ulivyo post hii siameshaona sasa mbona unatuzuga bab
 
...chezeya mitego ya shetani weye..? akikuingiza kingi huchomoki,unless upate msaada wa Yesu...
 
subili tu utajikuta mwenyewe unaanza kupata majibu ya yale mambo ambayo ulikuwa unayauliza kila mara, na utajishangaa sana!
 
thread.jpg
 
Hebu subiri kwanza, before hujamwambia huyo jamaa yako je huyo unae muita mchumba wako umemwambia yote unayoyafanya/uliyoyafanya????confess kwa mchumba wako kwanza upate mziki wake halafu uende kwa huyo jamaa yako ndo utapata akili vizuri. Kwa kifupi wewe na huyo dada mnaendana kwasababu nyoteni wasaliti
 
Kuna uzi uliuanzisha unadai kuwa mpenzi wako amekuletea malalamiko kuwa lecturer anamtaka, na ukasem hujasoma elimu yako form four, sasa leo unasema mlipokuwa masomoni. Kumbe unatudanganya hata level ya elimu yako. Haya endelea kuvurunda
 
Kuna uzi uliuanzisha unadai kuwa mpenzi wako amekuletea malalamiko kuwa lecturer anamtaka, na ukasem hujasoma elimu yako form four, sasa leo unasema mlipokuwa masomoni. Kumbe unatudanganya hata level ya elimu yako. Haya endelea kuvurunda

Hawa watoto huwa wanaona raha kuanzisha thread na kuona watu wanachangia tu..
 
Tabia za wizi sio nzur. Kwa nn hukuomba ushauri kabla? Umalize ndo uje! Ebu acha u.p.u.m.b.a.v.u yaani best yako!!
 
Mangwea aliwahi kuimba hii kitu kwenye wimbo wake ...ni geto langu tu linalo wachengua maduu... Mangwea anadai kuna madem kibao wa marafiki zake walikuwa wakiwatoroka mabwana zao na kuzama geto kwa msela... Yeye alikuwa anawatafuna bila ajizi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom