nataka kwenda kujisemea mkuu nafsi inanisuta mkuu
PASSION LADY hahahaha wala yy ndo kazma taa unategemea nn.
daaah hapo pagumu aiseee kwa ufupi ni kwamba umelikoroga ndugu yangu ambapo sharti lake ni kulinywa,kwani usingetaka hayo yatokee ungejikata mapema au ungemwabia mwenzio visa vya mpenzi wake mapema ili ajue afanye nini na hayo yote yangekuwa ya kuwaziwa tu kwa sasa,ila sivyo yamekuwa real kwa kuwa hukuwa muwazi kaka kwa hiyo naomba nikupe pole na anza kujipanga kama ndo unamuoa bi dada au unaendelea kumwibia jamaa kisiri,kwani hata kumwambia jamaa kwa sasa haisaidii bado utaonekana msaliti tu atakuuliza ulikuwa wapi kuniambia sikuzote hizo ukaniulize leo????????pole sana binamutz una maamuzi magumu mbele yako.
hakuna ugumu wowote. Na ndio yako iwe ndio na siyo vivyo hivyo!!!!!
MKUU kiukwel hata me nafsi yangu inanisuta NAJUTIA kiukwel kumuoa cwez me nina mchumba wangu na yy analitambua hlo lakn bado kaniganda
huku jamani tumevamiwa na vitoto vya fb na u-turn.
hivi nyie watoto kwanini hamtembelee website zenu jamani, huku kwa wazee manatafuta nini.....!!!
moderator hebu chapa fimbo hawa watoto lol..!!
jikatae kwa huyo demu
rafikiyo akijua huoni kua
urafiki wenu waweza kufa?!!
Kisa demu na sio mke?
hakikisha umemfunga pingu wakati unamuelezea...
ndo kila nikijarbu kujikataa demu ananitishia kunisemea kuwa nimembaka.unadhan ungekuwa ww ungefanyaje?
kuna siri nimekaa nayo mda mrefu sana moyon sasa nahisi nashndwa kuvumilia.
Nina rafiki yangu wa kiume ambaye tulitokea kufamiana wakati nikiwa masomoni.
Kwann hapa pameandikwa ni above 18.kutoa yaliyo MOYON ni utoto?think twice. mkuu nakuheshimu.hukulazmishwa kuchangia.
inabd kuwa na moyo wa chuma kumkatalia kuingia ndan aisee anyway ntajarbu
utambaka vp endapo akija kwako marufuku kuingia ndani?atasema
umembakia wapi?acha uoga wewe mtt wa kiume!!
we nae utakua unataka kumgegedainabd kuwa na moyo wa chuma kumkatalia kuingia ndan aisee anyway ntajarbu