Naconfess

Naconfess

mtoto wa kibopa

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
5,337
Reaction score
6,431
Wana JF leo nakuja mbele yenu naomben ushauri wenu kuna siri nimekaa nayo mda mrefu sana moyon sasa nahisi nashndwa kuvumilia nimeamua kuitoa.

Nina rafiki yangu wa kiume ambaye tulitokea kufamiana wakati nikiwa masomoni,ananijali na kuniheshim kama ndugu yake wa damu,nikikwambia ni rafiki tu huwezi amini.

Tatizo ni kwamba huyu best friend wangu ana rafiki yake wa kike(mpenzi) mara nyingi huwa wanakuja kunitembelea nyumbani so imefika kipindi yule mchumba wa rafiki yangu anakujaga peke yake kwangu akaanza tabia ya kunitega kwa vile nilikuwa namheshimu sana best wangu nikawa navumilia mitego ya yule msichana but ikafka kipindi nikashndwa uvumilivu nika DO naye s.e.x.

Kuanzia hapo akaanza kumponda mshikaji maneno kibao ya dharau.Kuna siku ikibidi nimwambie ukwel kuhusu tunavyomfanyia mshikaji kwamba sio vizuri so nikamwambia nataka nimwambie UKWELI BEST YANGU demu akanitishia kwamba nikimwambia basi ATASEMA KWAMBA NILIKUWA NAMBAKA KINGUVU.

Nikajaribu kumwambia mimi nina mchumba na nina malengo naye but shem kang'ang'ania.

Nifanyeje?
 
daaah hapo pagumu aiseee kwa ufupi ni kwamba umelikoroga ndugu yangu ambapo sharti lake ni kulinywa,kwani usingetaka hayo yatokee ungejikata mapema au ungemwabia mwenzio visa vya mpenzi wake mapema ili ajue afanye nini na hayo yote yangekuwa ya kuwaziwa tu kwa sasa,ila sivyo yamekuwa real kwa kuwa hukuwa muwazi kaka kwa hiyo naomba nikupe pole na anza kujipanga kama ndo unamuoa bi dada au unaendelea kumwibia jamaa kisiri,kwani hata kumwambia jamaa kwa sasa haisaidii bado utaonekana msaliti tu atakuuliza ulikuwa wapi kuniambia sikuzote hizo ukaniulize leo????????pole sana binamutz una maamuzi magumu mbele yako.
 
Last edited by a moderator:
eti alikuwa ananitega!
unajitambua kweli wewe?
mbona haukuomba ushauri wa kuepuka ulikokuita kutegwa?

sema tu ushamchoka dada wa watu mnafki mkubwa we!
mazima.
 
Wana JF leo nakuja mbele yenu naomben ushauri wenu kuna siri nimekaa nayo mda mrefu sana moyon sasa nahisi nashndwa kuvumilia nimeamua kuitoa. nina rafiki yangu wa kiume ambaye tulitokea kufamiana wakati nikiwa masomoni.ananijali na kuniheshim kama ndugu yake wa damu,nikikwambia ni rafiki tu huwezi amini.tatizo ni kwamba huyu best friend wangu ana rafiki yake wa kike(mpenzi) mara nying huwa wanakuja kunitembelea nyumbani so imefka kpnd yule mchumba wa rafk yangu anakujaga peke yake kwangu akaanza tabia ya kunitega kwa vile nilikuwa namheshimu xana best wangu nikawa navumilia mitego ya yule msichana but ikafka kpnd nikashndwa uvumilivu nika DO naye s.e.x kuanzia hapo akaanza kumponda mshkaj maneno kbao ya dharau.Kuna cku ikibd nimwambie ukwel kuhusu 2navyomfanyia mshikaj kwamba co vzr xo nikwamwambia nataka nimwambie UKWEL BEST ANGU demu akanitishia kwamba nikimwambia basi ATASEMA KWAMBA NILIKUWA NAMBAKA KINGUVU.Nikajarbu kumwambia mm nina mchumba na nina malengo naye but shem kang'ang'ania.nifanyaje?

Under 18
 
eti alikuwa ananitega!
Unajitambua kweli wewe?
Mbona haukuomba ushauri wa kuepuka ulikokuita kutegwa?

Sema tu ushamchoka dada wa watu mnafki mkubwa we!
Mazima.

kiukwel mkuu najutia but hata yy anatambua nina mchumba na wanajuana
 
Wana JF leo nakuja mbele yenu naomben ushauri wenu kuna siri nimekaa nayo mda mrefu sana moyon sasa nahisi nashndwa kuvumilia nimeamua kuitoa. nina rafiki yangu wa kiume ambaye tulitokea kufamiana wakati nikiwa masomoni.ananijali na kuniheshim kama ndugu yake wa damu,nikikwambia ni rafiki tu huwezi amini.tatizo ni kwamba huyu best friend wangu ana rafiki yake wa kike(mpenzi) mara nying huwa wanakuja kunitembelea nyumbani so imefka kpnd yule mchumba wa rafk yangu anakujaga peke yake kwangu akaanza tabia ya kunitega kwa vile nilikuwa namheshimu xana best wangu nikawa navumilia mitego ya yule msichana but ikafka kpnd nikashndwa uvumilivu nika DO naye s.e.x kuanzia hapo akaanza kumponda mshkaj maneno kbao ya dharau.Kuna cku ikibd nimwambie ukwel kuhusu 2navyomfanyia mshikaj kwamba co vzr xo nikwamwambia nataka nimwambie UKWEL BEST ANGU demu akanitishia kwamba nikimwambia basi ATASEMA KWAMBA NILIKUWA NAMBAKA KINGUVU.Nikajarbu kumwambia mm nina mchumba na nina malengo naye but shem kang'ang'ania.nifanyaje?
Tabu ya kuingia kwenye mambo ya kikubwa mngali wadogo, subirini mkue kwanza.
 
daaah hapo pagumu aiseee kwa ufupi ni kwamba umelikoroga ndugu yangu ambapo sharti lake ni kulinywa,kwani usingetaka hayo yatokee ungejikata mapema au ungemwabia mwenzio visa vya mpenzi wake mapema ili ajue afanye nini na hayo yote yangekuwa ya kuwaziwa tu kwa sasa,ila sivyo yamekuwa real kwa kuwa hukuwa muwazi kaka kwa hiyo naomba nikupe pole na anza kujipanga kama ndo unamuoa bi dada au unaendelea kumwibia jamaa kisiri,kwani hata kumwambia jamaa kwa sasa haisaidii bado utaonekana msaliti tu atakuuliza ulikuwa wapi kuniambia sikuzote hizo ukaniulize leo????????pole sana binamutz una maamuzi magumu mbele yako.

MKUU kiukwel hata me nafsi yangu inanisuta NAJUTIA kiukwel kumuoa cwez me nina mchumba wangu na yy analitambua hlo lakn bado kaniganda
 
Last edited by a moderator:
Huna tofauti na yule Mtume na Nabii aliyekula mke wa Muumini wake mpaka akampa ugonjwa wa zinaa.
 
alikuwa wapi siku zote kusema ANABAKWA ndio aje aseme LEO.............,

Sidhani kama kuna haja ya kumwambia best yako ili iweje,wala haiwezi

kumpunguzia maumivu kuwa ulimgegeda dem wake........

TATZO MKUU me nina gal wangu je akigundua kama natoka na huyo gal atanichukuliaje coz wanaheshimiana n wat bot ma best friend atajckiaje cku akijua kuwa namgegeda mpenz wake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom