mtoto wa kibopa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,337
- 6,430
- Thread starter
- #21
huna tofauti na yule mtume na nabii aliyekula mke wa muumini wake mpaka akampa ugonjwa wa zinaa.
mkuu kwa hyo unanishaurije hapo?
huna tofauti na yule mtume na nabii aliyekula mke wa muumini wake mpaka akampa ugonjwa wa zinaa.
Una miaka mingapi? This is highly related to your age, just trust me. Ukikuaaaa, hutapata shida ya aina hii tena.
huna tofauti na yule mtume na nabii aliyekula mke wa muumini wake mpaka akampa ugonjwa wa zinaa.
Mke wa rafiki yako abakie kuwa shemeji yako. Utajisiaje siku ukiambiwa rafiki yako alikuwa ni mwathirika wa HIV toka zamani?mkuu kwa hyo unanishaurije hapo?
alikuwa wapi siku zote kusema ANABAKWA ndio aje aseme LEO.............,
Sidhani kama kuna haja ya kumwambia best yako ili iweje,wala haiwezi
kumpunguzia maumivu kuwa ulimgegeda dem wake........
TATZO MKUU me nina gal wangu je akigundua kama natoka na huyo gal atanichukuliaje coz wanaheshimiana n wat bot ma best friend atajckiaje cku akijua kuwa namgegeda mpenz wake
eti alikuwa ananitega!
unajitambua kweli wewe?
mbona haukuomba ushauri wa kuepuka ulikokuita kutegwa?
sema tu ushamchoka dada wa watu mnafki mkubwa we!
mazima.
judging from his "xana" x, x, x writting he is still under kawambwa and mulugo's wings..
Huna tofauti na yule Mtume na Nabii aliyekula mke wa Muumini wake mpaka akampa ugonjwa wa zinaa.
hili sio jukwaa la siasa mkuu! Tutakulima ban!
TATZO MKUU me nina gal wangu je akigundua kama natoka na huyo gal atanichukuliaje coz wanaheshimiana n wat bot ma best friend atajckiaje cku akijua kuwa namgegeda mpenz wake
hukuyafikiria yote hayo toka mwanzo!!!!!!!!!
btn andikaga vizuri maana huo uandishi
mbona best yako nae anamgegeda gal wako....halafu nae anang'ang'aniwa kama wewe. Cha kufanya kila mmoja abaki na gal wa mwenzie. Hapo wote mmelamba majoka sasa atakayeanza kumlambisha mwenzie 5 analamba 10 yeye.
Halafu iweje demu wa mshikaji wako aje home kumtembelea wakati jamaa yake hayupo_wanawake/wachumba wa siku hizi kweli pasua kichwa.
Mbona best yako nae anamgegeda gal wako....halafu nae anang'ang'aniwa kama wewe. Cha kufanya kila mmoja abaki na gal wa mwenzie. Hapo wote mmelamba majoka sasa atakayeanza kumlambisha mwenzie 5 analamba 10 yeye.
sishaurigi watu kama wewe hata kiswahili unatia swaga za kizee na ukicheza utagegedwa wewe na huyo rafikio pathetic2kibadlishana heshma itatoka wap xaxa
Mkuu ni mzee wa Efatha.Mkuu nan tena huyo alikula kondoo wa bwana?
MKUU hata me cjajua kuna mda unafkaga huwa najihc hata kutomwamin mpenz wangu.wapo kama vnyonga vle
jamani ngono tamu we acha tu asa ya kuiba