Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 10,185
- 7,372
Wana JF leo nakuja mbele yenu naomben ushauri wenu kuna siri nimekaa nayo mda mrefu sana moyon sasa nahisi nashndwa kuvumilia nimeamua kuitoa.
Nina rafiki yangu wa kiume ambaye tulitokea kufamiana wakati nikiwa masomoni,ananijali na kuniheshim kama ndugu yake wa damu,nikikwambia ni rafiki tu huwezi amini.
Tatizo ni kwamba huyu best friend wangu ana rafiki yake wa kike(mpenzi) mara nyingi huwa wanakuja kunitembelea nyumbani so imefika kipindi yule mchumba wa rafiki yangu anakujaga peke yake kwangu akaanza tabia ya kunitega kwa vile nilikuwa namheshimu sana best wangu nikawa navumilia mitego ya yule msichana but ikafka kipindi nikashndwa uvumilivu nika DO naye s.e.x.
Kuanzia hapo akaanza kumponda mshikaji maneno kibao ya dharau.Kuna siku ikibidi nimwambie ukwel kuhusu tunavyomfanyia mshikaji kwamba sio vizuri so nikamwambia nataka nimwambie UKWELI BEST YANGU demu akanitishia kwamba nikimwambia basi ATASEMA KWAMBA NILIKUWA NAMBAKA KINGUVU.
Nikajaribu kumwambia mimi nina mchumba na nina malengo naye but shem kang'ang'ania.
Nifanyeje?
Kama uwezo unakuruhusu (pesa), badili dini kama wewe ni mkristo na uoe wote.