Lamzettttt
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,031
- 3,123
Habari Za Muduu Wote Wana jamii forum
Nimeona Kumekuwapo Mijadala Mingi humu Kuhusiana na Suala zima la (SINGLE MOTHERS) Kwa tafsiri ya Mama aliyekimbiwa na baba wa mtoto japo single mothers ina maana pana.
Lakini mimi sitotaka kwenda kwenye matokeo ya single mothers nataka nichungulie kidogo chanzo kwa ufinyu wa mawazo yangu.
Kwanza naomba kutoa takwimu zangu ambazo sio rasmi kwamba Asilimia 80 ya Single Mothers (waliokimbiwa na wanaume baada ya kushika mimba au kupata mtoto) Walipata mimba au watoto hao pasi na kuolewa.
Sasa basi Kwa Nionavyo mimi Dada zetu ninyi wenyewe kwa asilimia 80% ndio mnachangia nyie wenyewe kua single mothers na hiyo asilimia 20% ndio wanaume.
Tuone :- Mwanaume hajakuoa , hatambuliki kwenu vile mmekutana tu unaenda unampa mwili tena bila ya kutumia kinga kwa kudhani tu jambo hilo labda litaongeza mapenzi yake kwako
Tuone engine hata anapokaa hupajui vile mnakutana juu kwa juu then mnaenda guest unampa mwili bila kutumia kinga.
Tuone:- utakuta mwanmke anamtegea mwanume ili apate ujauzito kwa kuzani tu kwamba kwa kufanya hivyo atamweka mwanume huyo karibu zaidi na yeye ... Kwahiyo hapa anajikuta bila kushauriana na mwanaume yeye hujichukuria maamuzi yake peke yake.
Shida imekua kwenu sikuhizi dada zetu penzi limekua kama njia moja wapo ya kujipatia kipato lakini mnakua mnasahau kutazama mbele na matokeo ya utafutaji huo ..
Sina mengi jamani Dada Nawaheshimu sana.
Nimeona Kumekuwapo Mijadala Mingi humu Kuhusiana na Suala zima la (SINGLE MOTHERS) Kwa tafsiri ya Mama aliyekimbiwa na baba wa mtoto japo single mothers ina maana pana.
Lakini mimi sitotaka kwenda kwenye matokeo ya single mothers nataka nichungulie kidogo chanzo kwa ufinyu wa mawazo yangu.
Kwanza naomba kutoa takwimu zangu ambazo sio rasmi kwamba Asilimia 80 ya Single Mothers (waliokimbiwa na wanaume baada ya kushika mimba au kupata mtoto) Walipata mimba au watoto hao pasi na kuolewa.
Sasa basi Kwa Nionavyo mimi Dada zetu ninyi wenyewe kwa asilimia 80% ndio mnachangia nyie wenyewe kua single mothers na hiyo asilimia 20% ndio wanaume.
Tuone :- Mwanaume hajakuoa , hatambuliki kwenu vile mmekutana tu unaenda unampa mwili tena bila ya kutumia kinga kwa kudhani tu jambo hilo labda litaongeza mapenzi yake kwako
Tuone engine hata anapokaa hupajui vile mnakutana juu kwa juu then mnaenda guest unampa mwili bila kutumia kinga.
Tuone:- utakuta mwanmke anamtegea mwanume ili apate ujauzito kwa kuzani tu kwamba kwa kufanya hivyo atamweka mwanume huyo karibu zaidi na yeye ... Kwahiyo hapa anajikuta bila kushauriana na mwanaume yeye hujichukuria maamuzi yake peke yake.
Shida imekua kwenu sikuhizi dada zetu penzi limekua kama njia moja wapo ya kujipatia kipato lakini mnakua mnasahau kutazama mbele na matokeo ya utafutaji huo ..
Sina mengi jamani Dada Nawaheshimu sana.