Mwanga Mkali JF-Expert Member Jul 8, 2018 1,289 2,414 Feb 10, 2021 #21 Intaplex said: Kila siku serikali inaongeza ugumu katika uagizaji wa magari ama kwa kuongeza Kodi au kuleta complication tu zitakazo ongeza urasimu usio na sababu ila lengo Ni kuwaumiza raia tu hamna kingine Click to expand... Miradi ya kimkakati inahitaji hela... Ni kukamuliwa mwanzo mwisho.
Intaplex said: Kila siku serikali inaongeza ugumu katika uagizaji wa magari ama kwa kuongeza Kodi au kuleta complication tu zitakazo ongeza urasimu usio na sababu ila lengo Ni kuwaumiza raia tu hamna kingine Click to expand... Miradi ya kimkakati inahitaji hela... Ni kukamuliwa mwanzo mwisho.
Samcezar JF-Expert Member May 18, 2014 13,096 22,628 Feb 24, 2021 #22 Kwan si bado haujaanza....?! Tusubirie uanze then tutafahamu shida ipo wapi. Kwa sasa nyie chuneni msiseme lolote.
Kwan si bado haujaanza....?! Tusubirie uanze then tutafahamu shida ipo wapi. Kwa sasa nyie chuneni msiseme lolote.