Inabidi ukomae nayo hivyo hivyo utafanyaje sasa . Uitwe kidumu au generator uwemo tuuu lkn jamani humu kuna maneno kiasi kwamba unakua up to date. Huko nyuma niliwahi kushangaa msemo wa serengeti boys, sikua najua maana yake . Kwani kuna dada alikua ananunua kitu akasema hiki ni cha serengeti boy wangu , ikabidi niliyekua nae nimuulize baada ya kuachana na yule dada nikaeleweshwa. Nilibaki kinywa wazi kwani dada yule alikua ameolewa .