Nachati na Generator


Mtulie sasa lah sivyo mnalo tena haki sawa ndo balaaa
 
...ni hatari
 
Me ndo maana huwa siwaelewi alafu wao ndo wanaoomba game na wala siyo sisi wakishapata tamu wanakuja kuimanga huku mie sijapenda hii tabia yao hawa wanaume...

Jaman kwan kweny game tamtam 2napata sisi 2?thn nw days uombaji wa game hata ke mnafanya sana, mara nying huwa indirect
 
Mtulie sasa lah sivyo mnalo tena haki sawa ndo balaaa

habari za asubuhi miss chagga?

kamwe haitokaa itokee mwanaume kutulia!

DELILA ALICHOTUFANYIA KWA KIJANA MWENZETU SAMSON NI MFANO HALISI KWAMBA HATUTAKIWI KUWAAMINI NINYI MILELE NA MMOJA NI MARUFUKU!
 
Hahaha, hivi ukiwa na majenereta mawili ni ufisadi? Na umeme wangu ni 3-phase. Ushauri mwaniwani

aggregate mikongoroko na maximum consumption vitakuhusu kwa sana!

btw, how was your vt day?
 
habari za asubuhi miss chagga?

kamwe haitokaa itokee mwanaume kutulia!

DELILA ALICHOTUFANYIA KWA KIJANA MWENZETU SAMSON NI MFANO HALISI KWAMBA HATUTAKIWI KUWAAMINI NINYI MILELE NA MMOJA NI MARUFUKU!

sasa nyie vitembezeni tuuu kumbe na wewe ujatulia aiseeee
 
sasa nyie vitembezeni tuuu kumbe na wewe ujatulia aiseeee

kutembeza dushe mbona ndo habari ya kariakoo kwa sasa..!

kwanini nijipe stress kuwa na mmoja wakati yeye mwenyewe ana listi ndefu kama mafisadi wa epa!

no way... lazima tuwapange kama foleni ya NMB!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…