Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,687
- 46,381
Majuha kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo naona ameenda mbali.
Yupo mmoja huku kwetu Arusha yeye baada ya kuona Nchi zinazoripoti visa zinaongezeka, kwenye tarehe za mwanzoni za mwezi march akatangaza unabii kuwa corona itaingia na Tanzania.
Kwa hivi sasa Waumini wake wanasheherekea kutimia kwa unabii huku Wasaidizi wake wakihimiza utoaji wa sadaka lukuki kama sehemu ya kupongeza unabii huo.
Sent using Jamii Forums mobile app