Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 1,658
- 4,866
Nabii Clear Exaud Malisa ambao urusha matangazo ya kanisa lake kupitia Televisheni na Radio ya Wasafi, amekuja na utabiri wa mwaka huu 2024.
Clear Malisa amesema mwaka huu 2024 umegubikwa na matukio makubwa sana ambayo ameorodhesha kama ifuatavyo.
1. Natural Disasters (Majanga ya kiasili). MUNGU mwenyewe ameruhusu yatokee.
2. Mabadiliko ya hali ya hewa makubwa sana. Wakati wa kiangazi ambao hakuna mvua, mvua itatokea
3. Kwa mara ya kwanza kwa mwaka huu Alama ya mpinga kristo inaenda kuwa wazi duniani, mwanzoni mlikuwa mnaambiwa tu ila sasa inaenda kuwa wazi. Na alama hii itafosiwa kwenye mataifa, vitu vingine uwa havifosiwi lakini hii itafosiwa. Nabii malisa akamuuliza mungu tutajuaje kama ni yenyewe, akasema mtaona ishara na ishara mtaona meli kubwa ikiungua, na meli hii kubwa ikishaungua na alama itakuwa Introduced.
Amehitimisha kwa kusema ukiona alama imekuwa introduced basi Yesu yu karibu kurudi kuchukua kanisa lake.
Lakini pia aliongeza na kusema Tarehe 31/12/2023 alitabiri kutakuwepo tetemeko kubwa la ardhi nchini Japani, na unabii ukatimia ndani ya masaa 12 tetemeko likatokea japani.
Tunzeni hii Video, tutarudi hapa Tarehe 31/12/2024 kujua mbivu na mbichi.
View: https://www.instagram.com/reel/C1yv3G6tPzD/?igsh=MXA3MnVvc2M4ZXUxNQ==
Clear Malisa amesema mwaka huu 2024 umegubikwa na matukio makubwa sana ambayo ameorodhesha kama ifuatavyo.
1. Natural Disasters (Majanga ya kiasili). MUNGU mwenyewe ameruhusu yatokee.
2. Mabadiliko ya hali ya hewa makubwa sana. Wakati wa kiangazi ambao hakuna mvua, mvua itatokea
3. Kwa mara ya kwanza kwa mwaka huu Alama ya mpinga kristo inaenda kuwa wazi duniani, mwanzoni mlikuwa mnaambiwa tu ila sasa inaenda kuwa wazi. Na alama hii itafosiwa kwenye mataifa, vitu vingine uwa havifosiwi lakini hii itafosiwa. Nabii malisa akamuuliza mungu tutajuaje kama ni yenyewe, akasema mtaona ishara na ishara mtaona meli kubwa ikiungua, na meli hii kubwa ikishaungua na alama itakuwa Introduced.
Amehitimisha kwa kusema ukiona alama imekuwa introduced basi Yesu yu karibu kurudi kuchukua kanisa lake.
Lakini pia aliongeza na kusema Tarehe 31/12/2023 alitabiri kutakuwepo tetemeko kubwa la ardhi nchini Japani, na unabii ukatimia ndani ya masaa 12 tetemeko likatokea japani.
Tunzeni hii Video, tutarudi hapa Tarehe 31/12/2024 kujua mbivu na mbichi.
View: https://www.instagram.com/reel/C1yv3G6tPzD/?igsh=MXA3MnVvc2M4ZXUxNQ==