Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,120
- 27,932
Brother, angalia sana. Wapo wengi tu waliosema kama wewe, kumhusu Mungu, na walikiona cha mtema kuni. Kati yao ni hawa:- Actress/actor Marylyn Monroe, Beetles singer John Lennon, na engineer aliyetengeneza meli ya Titanic . Tena huyu alisema kuwa "Titanic, imetengenezwa imara zaidi ya meli zote, hakuna dhoruba itakayoizamisha na hata Mungu hawezi kuizamisha".Siamini mungu sio kwa sababu ya corona, mimi nina uhakika mungu hayupo, hajawahi kuwepo na wala hajawahi kufanya chochote. Corona ni mfano tu. Sasa nyie mnaoamini ma mnaoomba Mumgu asie na uwezo wala msaada wowote, miaka na miaka mnamuomba, ukimwi, kansa, ebola, nk ni magonjwa yapo miaka na miaka, je Mungu wenu bado hajasikia maombi yetu aondoe hayo magonjwa au mambi hayajamfikia? Endeleeni kupiga kelele labda amelala, kelele inaweza kumuamsha.
Mkuu hufi leo, hakuna mkate mgumu mbele ya chai.hivi kweli mkuu Pascally umeoa katoto mpaka kanakushawishi uangalie wasaf tv? hiv kumbe hiv vitoto vina influence? yani kweli mtu mbishi kama wewe pascally mpka rais unamhojig maswali mazito leo hii umeekewa wasafi tv hata huuuliz kumbe tutoto tuna nguvu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nabii uchwara mayalla inamsumbuaNabii Malisa anasema Mungu amesema na Tanzania kupitia rais Magufuli kumtegemea Mungu.
P
Yule yuko ndani kwa ngada.....!! Huyu msanii mwingine ndio anaemlea Luvanda MC kelele zote analelewa huyo Dada bingwa kulea huyoKiukweli jina nilikuwa nalisikia leo ndio nimemuona, kiukweli yuko fit sana, kuna mdada mmoja Mwasha aliyekuwa na ile 8020 blog namfahamu.
P
Duh...!, hilo la MC kulelewa it's not true kwasababu MC Luvanda namfahamu vizuri, ni mmoja wa ma Top MC wa viwango hapa Bongo, hivyo hoja ya kulelewa haina mashiko, huyo dada ni mkewe wa ndoa sio haki kusema analelewa, ila pia inaruhusiwa kwa mke kumlea mume na mume kumlea mke.Yule yuko ndani kwa ngada.....!! Huyu msanii mwingine ndio anaemlea Luvanda MC kelele zote analelewa huyo Dada bingwa kulea huyo
Karibuntarudi