Nabii Flora Peter wa Mbezi Beach...

Nabii Flora Peter wa Mbezi Beach...

yesu hakua na dhehebu, alikua mkristo alie kamili
Yesu hakuwa mkristo, yesu alikuwa na mamboyake ya kumtukuza mungu kufundisha watu waishishe na mungu kwa ujumla alikuja ili tumjue mungu wa kweli yeye ndiye aliitwa kristo so kwa wale walomfuata waliitwa wafuasi wake yani wa kristo.
 
Ninamjua Huyo MTUMISHI Wa Mungu Tokea Akiwa Kigamboni, Kisha Kwa Mzee Willy Pale Mbezi Beach Maguruwe Na Mpaka Alipoanzisha Kanisa Lake Salasala.

NINAMKUBALI 100% Kwani MAFANIKIO Yake KIMAOMBI Ni MAKUBWA Na Hayaelezeki Na Tokea NIMFAHAMU Sijawahi Kuona Mtu AKIENDA KWAKE NA ASIFANIKIWE. Lakini Pia TUSISAHAU Kuwa Dini Pia Ni IMANI Ya MTU Na Jinsi UNAVYOJIACHIA Kwa Mwenyezi Mungu au Yesu Kristo.

Kwa Mfano UNAKUTA MTU ANAENDA KUOMBEWA LABDA APATE MUME NA MTUMISHI WA MUNGU AKIMWOMBEA NA KUMTAKA AACHANE NA UMALAYA YEYE AKIRUDI TU KITAA MWENDO NI MDUNDO KWA WAUME ZA WATU Je Hapo UNATEGEMEA NINI MKUU?

Nabii Flora Peter Ni MTUMISHI Wangu Na Namkubali Hadi Sijui Nisemeje Na Nahisi Nina DENI La Kumlipa Kwa Maombi Yake Ya UHAKIKA Kwangu Na Jinsi Mambo Yangu Yanavyozidi KUNYOOKA.

Najisikia Mwenye Furaha Mno KUSALI Kwa Nabii Flora Peter Na Nichukue Nafasi Hii Murua Kuwakaribisheni Na Wengine Wote Ambao Mna IMANI HABA. Mtasikia Mengi Na Mtadanganyana Sana ILA Ushuhuda Wa Maombi Ya Nabii Flora Peter HAUELEZEKI.

Namalizia Kwa Kusema " Kwa Msaada Wa Mungu Tutatenda Makuu Kwa Maana Bwana Atawakanyaga Watesi Wetu Zaburi 60:12 Na 108:13 ".
Genta ya kweli haya
 
Mkuu mbona unaanza ' Kufukua ' Makaburi tena? Umetumwa?
Hahahahahaha samahani mkuu wangu "ulietukuka"

Niliona kuna Uzi humu ndani unazurura sana sasa nika google nikakutana na huu na nikastaajabu sio kwa ubaya namna unayompa sofa za kutukuka nabii flora mama yako wa kiroho .

I hope bado unasali kwake
 
Hahahahahaha samahani mkuu wangu "ulietukuka"

Niliona kuna Uzi humu ndani unazurura sana sasa nika google nikakutana na huu na nikastaajabu sio kwa ubaya namna unayompa sofa za kutukuka nabii flora mama yako wa kiroho .

I hope bado unasali kwake

Hayakuhusu! Halafu acha ' Kunizingua ' sawa? Nadhani unanijua vizuri sana zikininyofoka ' Kichwani ' mwangu.
 
Hayakuhusu! Halafu acha ' Kunizingua ' sawa? Nadhani unanijua vizuri sana zikininyofoka ' Kichwani ' mwangu.
Na wewe acha kutisha tisha watu..ebo!

Eti zikikunyofoka...na zikunyofoke. Utamfanyaje kwa mfano!? Sana sana utaishia kuwa na hasira na kisimu chako.
Hatufahamiani tupambane kwa hoja kwa weledi.
 
Satanic
tapatalk_1544680400018.jpeg
 
yesu hakua na dhehebu, alikua mkristo alie kamili
Wafundisheni watu amri kumi za Mungu na ile kuu, mengine ni mbwembwe. Nimeona walokole wengi ni wafitini, wana visasi na wabinafsi sana ...ukizishika amri kumi wewe umeokoka mauti tayari
 
Back
Top Bottom