Nabii Flora Peter wa Mbezi Beach...

Nabii Flora Peter wa Mbezi Beach...

Mchungaji wangu atabaki kuwa Gwajima wa ufufuo na uzima, maana hii nisaa ya ufufuo na uzimaaaa wiiiiih.
Hata mumsemeje simwachi sitoki kwake.
 
Kwanini unasema ni nabii wa uongo? Any evidence?

soma hii mistari na kuizingatia, ukishaielewa anza kufatilia mahubiri na life style ya huyo mama. Anza na mathayo 7:15-20 kisha endelea na hii hapa
2peter 1:19-21
matendo 17:11
warumi 12:2
1wakorintho 12:3
wagalatia 6:4-6
2timotheo 3:16
waebrania 5:14
 
wewe ni nani mpaka umhukumu mwenzio? Usihukumu nawe utahukumiwa.

chumvi ikiharibika itatiwa nini ikolee? maneno yenu yawe nuru na iangaze mbele za watu wapate kuyaona matendo yenu mema. ......mtawatambua kwa matunda yao...... yale yaujazayo moyo wa mtu ndiyo yatokayo kinywani mwake.

Inaelekea hujui maana ya kuhukumu. mhusika ajiangalie kwani comment imeonyesha hana ushuhuda mzuri hapa jukwaani, kwa hiyo kitendo cha kujitanabaisha na nabii na kwamba amenufaika nae kimesababisha mtu kujikwaa badala ya kumfata Yesu kupitia yeye. mi mwenyewe sina ushuhuda maana natakiwa kujivunia uzito wa msalaba na si nabii.
 
????????????>..,,lljy@@2@@@@@@@!!!!!!!!!*********** Mungu neema yako baba
attachment.php

Duh! Inatisha sana, cc nifah
 
Last edited by a moderator:
ninamjua huyo mtumishi wa mungu tokea akiwa kigamboni, kisha kwa mzee willy pale mbezi beach maguruwe na mpaka alipoanzisha kanisa lake salasala.

Ninamkubali 100% kwani mafanikio yake kimaombi ni makubwa na hayaelezeki na tokea nimfahamu sijawahi kuona mtu akienda kwake na asifanikiwe. Lakini pia tusisahau kuwa dini pia ni imani ya mtu na jinsi unavyojiachia kwa mwenyezi mungu au yesu kristo.

Kwa mfano unakuta mtu anaenda kuombewa labda apate mume na mtumishi wa mungu akimwombea na kumtaka aachane na umalaya yeye akirudi tu kitaa mwendo ni mdundo kwa waume za watu je hapo unategemea nini mkuu?

Nabii flora peter ni mtumishi wangu na namkubali hadi sijui nisemeje na nahisi nina deni la kumlipa kwa maombi yake ya uhakika kwangu na jinsi mambo yangu yanavyozidi kunyooka.

Najisikia mwenye furaha mno kusali kwa nabii flora peter na nichukue nafasi hii murua kuwakaribisheni na wengine wote ambao mna imani haba. Mtasikia mengi na mtadanganyana sana ila ushuhuda wa maombi ya nabii flora peter hauelezeki.

Namalizia kwa kusema " kwa msaada wa mungu tutatenda makuu kwa maana bwana atawakanyaga watesi wetu zaburi 60:12 na 108:13 ".

hizi ni nyakati mbaya na za mwisho hata shetan atatumia jina la mungu
 
nabii frola peter anatenda asee!...kuna siku nakumbuka tuko kanisani kwake aliombea maji ya uhai yakawa asali tamuu...

siwez kuamini kitu km hichi ulichoandika hapo....never on earth no nope wacheni kupumbazwa akili
 
mungu tufungue macho ya rohon tujue yaliyojificha . Eeh yesu fungua macho na masikio yetu ya rohoni. Amen

hata macho ya kawaida yanatosha kujua haya ni magumashi ushuzi tu huu..mwambien nimemtukana aniombee niwe na pembe kichwani
 
hata macho ya kawaida yanatosha kujua haya ni magumashi ushuzi tu huu..mwambien nimemtukana aniombee niwe na pembe kichwani

Ah ah ah ah ngoja wafuas wake waje. Na walivyokua wanajua kuongea sasa. Mungu atusaidie tuimalize safar salama. Hii ni kaz kwel kwel
 
Kwanini avae crown km mtawala? Je yeye ni malkia ama ni mtumishi wa Mungu? Bado ananitatiza nafsi
 

Attachments

  • 1454311772358.jpg
    1454311772358.jpg
    29.9 KB · Views: 78
Back
Top Bottom