Yaaan ....saa nyingine nawaza kuwa kuna kitu kinatafutwa humu!Naona hii ni week ya wana kulialia.
Haaaaaaaaa mkuu vipi ndo mchezo wako nini kutumia Huduma za tigopesa???Atiiiiumemjengea hadi mamake aiseee kuna watu ndio maana hutembea barabarani huku wakiongea na upepo. Mimi nilikwambieni hapa zamani warambeni tigo hao sasa ona wenzenu wanazichapa kabang.
Ndukiiiii♂️
♂️
♂️
Hayo mawazo ya watu waoga. Unajua watu tumetofutiana. Wapo wenye uwezo na wasiona nao.
Binafsi mm nikiona mambo hayajakaa sawa lazima niupate ukweli, na huwa sikosi. Na ninauwezo mkubwa wa kubeba matokeo yoyote yale.. kabla ya kumtema huwa namuonyesha kuwa nimejua madudu yake ili asipate pa kujitetea.
Hayo mawazo ya watu waoga. Unajua watu tumetofutiana. Wapo wenye uwezo na wasiona nao.
Binafsi mm nikiona mambo hayajakaa sawa lazima niupate ukweli, na huwa sikosi. Na ninauwezo mkubwa wa kubeba matokeo yoyote yale.. kabla ya kumtema huwa namuonyesha kuwa nimejua madudu yake ili asipate pa kujitetea.
Anatakiwa kujua kuwa mbwa ni mbwa tu hata afugwe na Trump siku akipata upenyo atachakura majalalani..Pole mkuu,naimani maumivu yakiisha utakaa sawa.
Golden adviceWacha nipite tu. Pole lakini ndugu, ila nikukumbushe tu jambo. Ukitaka uwe player, katu usiwe na huruma wala maneno mengi. Hayo mambo ya unachofanya leo mnapeana moyo sijui utakuja kufanyiwa hivyo hivyo wanao, ni msemo mmoja wa kilofa na kipumbavu. Fanya yaliyopo
Nikiwa na akili timamu tena bila kulazimishwa na mtu ninakihama chama cha kupenda kikweli na kuhamia cha wazee wa hit and run kuunga mkono juhudi za maplayer.
Huyu pumbafu nimemjengea hadi mamake ni kweli niliahidi mwakani kumuoa lakini leo nimefanikiwa ku-hick simu yake daah hadi kabang anatoa hawa viumbe si wakuamini yaaani sasa ntayapunguzia machungu kwa wengine .
Kwa kwelii.."One of my biggest mistake in my life is thinking people will show me the same love I've shown them.."
Kwa nini usim, ufoo saro.Nikiwa na akili timamu tena bila kulazimishwa na mtu ninakihama chama cha kupenda kikweli na kuhamia cha wazee wa hit and run kuunga mkono juhudi za maplayer.
Huyu pumbafu nimemjengea hadi mamake ni kweli niliahidi mwakani kumuoa lakini leo nimefanikiwa ku-hick simu yake daah hadi kabang anatoa hawa viumbe si wakuamini yaaani sasa ntayapunguzia machungu kwa wengine .
Yah am done doing ngoja nijilipie its my timePenye miti hakuna wajenzi,wanaotaka kupwendwa hawapendwi
Pole sana mtu unampenda kiasi kwamba hata mtu akikuita unywe soda unaogopa kuwa wenda mchumba anakuona huendi tena. Unampenda mtu mpaka na mbwa wao na paka wote unawapenda, lakini siku ya siku mtu anakutenda. Anakushushua heshima ,dunia unaiona chungu.
Oh this stupid love.....
Mkuu just do it life is not fair....go on hit and run.
Ee Mungu wape furaha ya moyo wanaopitia kipindi hiki najua haya maumivu ni zaidi ya kupigwa.
Mkuu mwambie unataka kubadirisha paa la nyumba ya mama ake toa bati toa kenchi then iaache hvo hvo, Mungu atakusamehe