Leloo June
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 1,012
- 945
Tatizo hivi atufikiri sisi tu, Kuna sister rafiki yangu ukiongea habari za mapenzi na yeye kauli zake ndo kama hizi anakuambia habari za kupenda azitambui tena ukijichanganya anakuumiza.
So atupo peke yetu katika swala la hit & run ni kuwa makini tu watu wa jinsia zote ukiinga katika mahusiano ingia kwa akili. Me mtoto nimemsubiri miaka kazaa napanchi watoto wazuri kibao kisa yeye alafu siku ya siku kaamka tu asubuhi ananiambia tuachane sikutaki tena ahaaa nilikuwa tayari kwenda job bado kidogo nirudi kulala.
So atupo peke yetu katika swala la hit & run ni kuwa makini tu watu wa jinsia zote ukiinga katika mahusiano ingia kwa akili. Me mtoto nimemsubiri miaka kazaa napanchi watoto wazuri kibao kisa yeye alafu siku ya siku kaamka tu asubuhi ananiambia tuachane sikutaki tena ahaaa nilikuwa tayari kwenda job bado kidogo nirudi kulala.
