Naapa mimi The Only sitopenda tena

Naapa mimi The Only sitopenda tena

The only, nikuambie kitu rafiki yangu. You are just hurt, angry and disappointed. Its expected kwa sababu ya betrayal.

Do this, let her go halafu achana na mahusiano kwa sasa. Tuliza akili yako, ponya moyo wako. It will take time I know but utapona na utaona Mungu amekuepusha na a greater mistake. The earlier the better.

Then nikuambie kitu kingine. Love is a beautiful thing ambayo haina mfano. Mungu anatupenda kiasi gani mpaka akaumba kitu kinachoitwa mapenzi? Na utamu wake ni pale two genuine hearts click.

So usijiadhibu na usiwaadhibu wenzio ambao hawana hatia kwa kutopenda. Hit and run is very dangerous and destructive. You know why, unaanzisha mlolongo wa broken lost hearts.

Utakaowatumia huku wakiwa wamekupenda genuinely now wakaapply hiyo ya hit and run like a rolling stone not wanting to gather moss (feelings) unadhani tutaanzisha generation ya watu aina gani who walk around with broken hearts?

Take the high road.... be the bigger man here. Choose kuwa single yet with dignity. Dont hurt others because you might blindly be seeking revenge that might destroy you honey. Because as they say, when seeking revenge, dig two graves.
 
The only, nikuambie kitu rafiki yangu. You are just hurt, angry and disappointed. Its expected kwa sababu ya betrayal.

Do this, let her go halafu achana na mahusiano kwa sasa. Tuliza akili yako, ponya moyo wako. It will take time I know but utapona na utaona Mungu amekuepusha na a greater mistake. The earlier the better.

Then nikuambie kitu kingine. Love is a beautiful thing ambayo haina mfano. Mungu anatupenda kiasi gani mpaka akaumba kitu kinachoitwa mapenzi? Na utamu wake ni pale two genuine hearts click.

So usijiadhibu na usiwaadhibu wenzio ambao hawana hatia kwa kutopenda. Hit and run is very dangerous and destructive. You know why, unaanzisha mlolongo wa broken lost hearts.

Utakaowatumia huku wakiwa wamekupenda genuinely now wakaapply hiyo ya hit and run like a rolling stone not wanting to gather moss (feelings) unadhani tutaanzisha generation ya watu aina gani who walk around with broken hearts?

Take the high road.... be the bigger man here. Choose kuwa single yet with dignity. Dont hurt others because you might blindly be seeking revenge that might destroy you honey. Because as they say, when seeking revenge, dig two graves.
The comment of the day .umefanikiwa kuwaokoa niliowatarget kuwaumiza ,lakini ukweli siwezi kuishi bila mahusiano hivyo ntajitahidi kupunguza kuumiza wengi kwani kwa sasa hata jana kuna dada aliniambia ananipenda kwenye pombe nilimuwashia moto sana na matusi yaani naona kama ananirudisha shimo la moto ,asubuhi nimemtaka radhi na nikamsimulia na kumuapia ataambulia maumivu tu kwangu
 
Dogo hizi stori zq kujitungia mnazipenda sana usikute wewe unaishi kwa Landlord hata kiwanja hujawahi kuuliza bei, hafu unaleta ngojera za kumjengea mama wa demu wako nyumba labda kama umejenga banda LA kufugia kuku.
I understand you being broke is never easy,endelea kuwa na juhudi utapata one day yes
 
Nikiwa na akili timamu tena bila kulazimishwa na mtu ninakihama chama cha kupenda kikweli na kuhamia cha wazee wa hit and run kuunga mkono juhudi za maplayer.

Huyu pumbafu nimemjengea hadi mamake ni kweli niliahidi mwakani kumuoa lakini leo nimefanikiwa ku-hick simu yake daah hadi kabang anatoa hawa viumbe si wakuamini yaaani sasa ntayapunguzia machungu kwa wengine .
Unamjengeaj demu ?
Anyway mimi kama katibu wa chawapeta (chama cha wasiopenda Tanzania) nakukaribisha. Katibu mkuu wetu ni dk le mutuz
 
Unamjengeaj demu ?
Anyway mimi kama katibu wa chawapeta (chama cha wasiopenda Tanzania) nakukaribisha. Katibu mkuu wetu ni dk le mutuz
Teh teh actually sio nilinunua kiwanja na kujenga wana nyumba uswazi ,sasa wakati tunadate na nkamchumbia nilipatana sana na mama mkwe kiasi nyumba yao nilisafisha vyoo vya kisasa sebule masofa na fridge na tv kali nikiamini huyu ndo bibi wa my children to be,nadhani around 5 m ilitoka lakini kwa yule mama mchamungu sina kinyongo.ila najiuliza kuhusu huyu paka anaelala hadi na babangu mdogo
 
Naona hii ni week ya wana kulialia.
hahahahah...Acha kabisa threads nyingi humu masela wanalia..daah huyu kasalitiwa mara tena huyu analamika wanaombwa pesa daah leo naenjoy sana
 
The comment of the day .umefanikiwa kuwaokoa niliowatarget kuwaumiza ,lakini ukweli siwezi kuishi bila mahusiano hivyo ntajitahidi kupunguza kuumiza wengi kwani kwa sasa hata jana kuna dada aliniambia ananipenda kwenye pombe nilimuwashia moto sana na matusi yaani naona kama ananirudisha shimo la moto ,asubuhi nimemtaka radhi na nikamsimulia na kumuapia ataambulia maumivu tu kwangu

Pole. Chukua time upone kwanza.

Because mara nyingi unaweza jikuta unajilaumu kwa kilichotokea wakati sio kosa lako kabisa. The first step to healing is acceptance. So I hope unakunywa kwa starehe na sio stress.

Na huyo mhusika wala usimlipizie baya. Muache, Karma atamlipa maovu yake.
 
Back
Top Bottom