Naapa mimi The Only sitopenda tena

Naapa mimi The Only sitopenda tena

Si tulishawaambia acheni kuhack simu za hawa viumbe?
Ina maana huoni nyuzi za wavulana wenzio zinavyojibiwa pindi wanavyokuja kulia lia humu baada ya kuchungulia simu za wanaowaita wachumba/wake zao?
Jambo la kukumbuka " mke hasomeshwi, na huu msimu vyuo ndio vinaanza kufunguliwa, chukua hatua"
Mkuu hapo ni mke asomeshwi au mchumba?
Mchumba ndo asomeshwi ila mke kama kawaida but katika uangalizi yakinifu.
 
Hahahahahaaa karibu kwenye Chama la wana, tunapokea wenye matatizo mbalimbali ili kupumzisha hisia zao.
 
The only wewe sio player,na uplayer huuwezi mkuu,niamini with time u will be okay nautakutana na mdada mzuri sana ambae mtapendana,niamini nachokuambia hizo ni hasira na zitakuisha.
 
Wanaume wa Tanzania inabidi tubadilike asee maana malalamiko yamezidi mpaka imekuwa kero.

Kwanini unapendapenda hovyo jamani kila siku unaumia umia kidwanzi tu. Acha kupenda vitu vinavyokutia maumivu kila kukicha.

Madem wote ni hookers usidanganywe, ukiweza kumwingiza kingi piga one night stand kama unampa teni la sabuni akaoge poa kesho hamjuani. Uking'ang'ania kupenda utaishi kufa uache mwenzio akitanua uswahilini
 
Simu afungue pale anapokuwa na mashaka na mwenzie. Lakin kama ana roho nyepesi asijaribu.

Ila kama anaroho ngumu kama akina sisi wazoefu wa ku spy ..mbona kawaida tu. Unamjua unaeishi nae sio
Unafungua au kuspy ya nini?
Kama keshaliwa na ukajua utabadili nini..?!
Bata hachunguzwi anachokula mkuu...
 
Wanaume wa Tanzania inabidi tubadilike asee maana malalamiko yamezidi mpaka imekuwa kero.

Kwanini unapendapenda hovyo jamani kila siku unaumia umia kidwanzi tu. Acha kupenda vitu vinavyokutia maumivu kila kukicha.

Madem wote ni hookers usidanganywe, ukiweza kumwingiza kingi piga one night stand kama unampa teni la sabuni akaoge poa kesho hamjuani. Uking'ang'ania kupenda utaishi kufa uache mwenzio akitanua uswahilini
Siamini kama ni wewe umetoa huu ushauri aisee
 
Nikiwa na akili timamu tena bila kulazimishwa na mtu ninakihama chama cha kupenda kikweli na kuhamia cha wazee wa hit and run kuunga mkono juhudi za maplayer.

Huyu pumbafu nimemjengea hadi mamake ni kweli niliahidi mwakani kumuoa lakini leo nimefanikiwa ku-hick simu yake daah hadi kabang anatoa hawa viumbe si wakuamini yaaani sasa ntayapunguzia machungu kwa wengine .
Unapenda vizuri kweli! Hasara yake huyo bidada
 
Unafungua au kuspy ya nini?
Kama keshaliwa na ukajua utabadili nini..?!
Bata hachunguzwi anachokula mkuu...
Hayo mawazo ya watu waoga. Unajua watu tumetofutiana. Wapo wenye uwezo na wasiona nao.

Binafsi mm nikiona mambo hayajakaa sawa lazima niupate ukweli, na huwa sikosi. Na ninauwezo mkubwa wa kubeba matokeo yoyote yale.. kabla ya kumtema huwa namuonyesha kuwa nimejua madudu yake ili asipate pa kujitetea.
 
Kuna jamaa yetu mmoja alivurugwa kama hivo hivo miaka kadhaa iliyopita, kamfukuzia mama mtu hadi mwanzoni mwa mwaka huu kampata mama mtu na sasa kawa kiben10 unaambiwa mama haambiwi hasikii

Ohooo!
 
Mbona hizi nyuzi zimejazana humu za wanaume kuumizwa? ....kulikoni!
 
Back
Top Bottom