theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,748
- 15,715
Swali zuri sana hiliUmemjengea had mamaake vp mama yako ulishamjengea?
Swali zuri sana hiliUmemjengea had mamaake vp mama yako ulishamjengea?
Seems like some people dont accept this reality"One of my biggest mistake in my life is thinking people will show me the same love I've shown them.."
Truly broh, it's a bitter truth..Seems like some people dont accept this reality
Sasa umekuwa. Karibu kiumeni.Nikiwa na akili timamu tena bila kulazimishwa na mtu ninakihama chama cha kupenda kikweli na kuhamia cha wazee wa hit and run kuunga mkono juhudi za maplayer.
Huyu pumbafu nimemjengea hadi mamake ni kweli niliahidi mwakani kumuoa lakini leo nimefanikiwa ku-hick simu yake daah hadi kabang anatoa hawa viumbe si wakuamini yaaani sasa ntayapunguzia machungu kwa wengine .
Dogo hizi stori zq kujitungia mnazipenda sana usikute wewe unaishi kwa Landlord hata kiwanja hujawahi kuuliza bei, hafu unaleta ngojera za kumjengea mama wa demu wako nyumba labda kama umejenga banda LA kufugia kuku.Nikiwa na akili timamu tena bila kulazimishwa na mtu ninakihama chama cha kupenda kikweli na kuhamia cha wazee wa hit and run kuunga mkono juhudi za maplayer.
Huyu pumbafu nimemjengea hadi mamake ni kweli niliahidi mwakani kumuoa lakini leo nimefanikiwa ku-hick simu yake daah hadi kabang anatoa hawa viumbe si wakuamini yaaani sasa ntayapunguzia machungu kwa wengine .
Simu afungue pale anapokuwa na mashaka na mwenzie. Lakin kama ana roho nyepesi asijaribu.Si tulishawaambia acheni kuhack simu za hawa viumbe?
Ina maana huoni nyuzi za wavulana wenzio zinavyojibiwa pindi wanavyokuja kulia lia humu baada ya kuchungulia simu za wanaowaita wachumba/wake zao?
Jambo la kukumbuka " mke hasomeshwi, na huu msimu vyuo ndio vinaanza kufunguliwa, chukua hatua"
Moyo umesukuma damuMkuu, pole sana, ni wazi kuwa usingehack hiyo simu mahusiano yangekuwa na amani.
Akki wewe.Ahahahaaa....welcome to the club where I’m the head nigga in-charge!