Konya
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 921
- 114
Kwa wale wapenzi wa kandanda aka soka,vilabu vilivyotamba enzi hizo pamba-mwanza,majimaji-songea,cda-dodoma,reli-moro-kigoma,ushirika-moshi,africansport-tanga,sunderland(simba)-dar, etc pamoja na timu nyingi tu zilizokuwa zinamilikiwa na halmashauri za wilaya mbalimbali pamoja na mashirika,zilikuwa za ukweli..japo kwa uchache,na kulikuwa na maplayer wa ukweli,kweli old is gold alwayz