Naanza safari ya kutafuta "Six Packs"

Naanza safari ya kutafuta "Six Packs"

garden love ilikuwa enzi zile tulipokuwa hatujui paper money!

nowadays, even if a man is sixty years but with 60 million in cash,

you men with gardens of love and lot of six parks, you are going to be left in 120km/hr speed!!
 
"Man mbona kifua chako unazo six packs halafu umekiacha kina nywele?". Mmmh! Nikamjibu kwa kutabasamu kwamba, "Mimi nina asili ya nywele kifuani na hata miguuni hivyo mara chache sana huwa ninapunguza nywele kwani vp?". Akaishia kucheka akasema Garden Love sio ishu miaka hii, six packs ina mvuto sana miaka hii. Nami nikabaki nacheka sina la kumjibu.


mimi nimeona hapo kwenye bold tu ,,,,,,, 6 packs kifuani? kweli wewe kiboko mkuu.
 
Shem Kaizer, unamaanisha!???????????????:A S 39:
 
Last edited by a moderator:
Yote ni mitazamo.
Na kila mwanamke anacho anachokipendea kwa mwanaume.
Six Pack ni muonekanao wa nje,yaani ni sawa na baunsa tu katika kufanya mvuto.
So,is the best for outlook ila sio express
Tatizo ni kwamba sie vijana tunatabia ya kuiga.
Maana kabloa ya Six packs kulikuwa na watu kupenda kunyanyua vyuma na kujazia ili waonekane ndio wao na huku wamevaa Carwash cloth.Walivutia sana,Imetoka hap imeingia 6 and 8 Packs.
Ila wakati huo huo Garden love ipo pale pale.
Mtazunguuka mpaka 15 packs ila bado Garden Love ipo na umaarufu wake uleule.
Gaden love in sense ila 6 - 8 packs hazina,faida yake ni muonekano tu.
Na watu wengie wenye 6- 8s pack basi wakifika chooni wanachelewa kutoka.

Mazoezi mazuri ni Aerobic,hayo ya kulazimisha tumbo kukata ikifika miaka 35 - 40 kazi inakuwa pevu kweli,muhim ni kupuunguza tumbo katika njia za kawaida na inawza kuwa flat tu bila kulazimisha kulazimisha misuli ibane
 
Kizazi cha dotcom hiki mwana mambo hadharani, hawamind msitu na nyika, siku hizi ukiwa na ma six pack vimwana ndo wanashobokea so fanya palizi mzee mzima hahahaha

mimi nazimikia six pack ta wallet sio kifuani

cha msingi usiwe tu na kitambi.

haya mambo ya sijui six pack sijui seven pack siyajui mie
 
.....

Vp kuhusu nyie mtazamo wenu! Kuna umuhimu gani kati ya Garden love na six packs?! Naombeni mnifungue macho wadau, please!!!
some people don't like licking/kissing hairy surfaces. pia when cuddling wanapenda kulala kwenye kifua smooth (non hairy) 🙂
 
Back
Top Bottom