Naanza safari ya kutafuta "Six Packs"

Naanza safari ya kutafuta "Six Packs"

picha tafadhali

Six packs1.jpg
 
Mkuu watu8 wala sitafuti kiki, haya ni mambo ya kawaida tu. Mwanaume anapendwa kwa pesa zake tu sana sana. Jaribu kutoa mtazamo wako kuhusu hoja ya garden love na six packs

Mkuu mimi sina hizo features zote na pia sina kitambi...

Ninapendeka hivi nilivyo kwa kuwa sihitaji kupendwa na wanawake wote, bali mwanamke mmoja tu...

Kwa namna hivyo ulivyo yupo au wapo wanawake wataovutiwa nawe...wala hizi story zisikusumbue mkuu la sivyo wenye vitambi wasingependwa.
 
Last edited by a moderator:
zungukeni angaikeni laleni gym lakini mpango mzima ni pesa tu.huyo pekee ndio rafiki wa warembo. komba hana cha hizo six nini sijui wala mavuZ kifua ila totoz kama lulu zinashoboka
 
kwahyo unavyote

Ndiyo mkuu lakini sioni kama ni ishu. Navyojua mimi pesa huwa inaongea. Vipi kati ya garden love vs six packs, toa mchango wako mkuu.
 
Jana mama watoto kaniambia nina 5packs kwaiyo na mimi nijitutumue niwe na hiyo 6packs sijui nitaipataje
 
Ndiyo mkuu lakini sioni kama ni ishu. Navyojua mimi pesa huwa inaongea. Vipi kati ya garden love vs six packs, toa mchango wako mkuu.
ningekuwa wa kike ningepata nafasi nzuri sana ya kukujibu..la sivyo ntakudanganya kama ninavyodanganywa
 
Six packs ni kifuani au tumboni jomba? Nijuavyo mimi hiyo ni mikatiko ya muscles za tumbo, kifua na six packs wapi na wapi?
 
Back
Top Bottom