charty
JF-Expert Member
- Oct 28, 2013
- 7,460
- 6,003
Nakubali kwa moyo mmoja.! Hukooo ndiyo wapi sasa?
Hahaaa karibu sana! Ntakuonesha kuwa mpole
Nakubali kwa moyo mmoja.! Hukooo ndiyo wapi sasa?
Hahaaa karibu sana! Ntakuonesha kuwa mpole
Mleta mada acha ushamba,minyama haina ishu,ishu ni bank statement...loading error...
je kitandani pesa
Sasa mbona hujaja? Ningekupa pesa sanduku zima.
Tafute hela ndugu yangu, hayo mengine ni mbwembwe tu za maisha.
Fanya mazoezi ya kujiwe physically fit sio kutafuta six pack kwa ajili ya kupata mademu.
Fwedha ndio mpango mzima hapa mjini.
akuu mie six packs za nini mimi napenda hela tu
bila ya push up 40 sijaoga,ni utaratibu wangu kupasha kabla ya kwenda kutafuta rizki ,mwanaume lazima uwe na stamina.
Njoo kwangu...We siunapenda ela
Ndugu wana jamvi,
Baada ya kukaa na "kibelly" kwa miaka kadhaa na kuwa perceived kuwa chambichambi si haba sasa nimeona maslahi ya hii appearance hayalipi. Kila mchimba chumvi akija anaperception hapa shida zake zimekwisha, kisa eti "belly" is positively associated with chambichambi. Sasa nipo kwenye maandalizi rasmi ya kutengeneza izo 6 packs au hata kama 8 packs zipo ntazitengeza ili niondoe hii tasfiri lakini pia niweze kutafuna vile vikuku vilaini laini vinavyopenda packs. Ni njia gani rahisi ya kutoa hii kitu na kujenga hizi packs?
NB: Njia ya GYM naijua ila hiyo njia ni ndefu sana na inachosha
nakuja unapatikana wapi?
napatikana inbox
weka picha zao hapaSix packs wengi ni ngangari poa!!!