Naanza kuona dalili ya serikali ya mseto

Naanza kuona dalili ya serikali ya mseto

Magambas jipeni moyo...yaonekana kisu kimeanza kugusa mfupa....hakuna cha serikali ya mseto hapa wala kupishana kura,Jiandaeni kisaikoloji Louwasa ndiyo Rais....HUTAKI ACHA.

Jaribu kuelewa wewe mbulula. Mtoa mada anasema hivi, Lowasa anaweza akashinda lakini Kama chama kimojawapo kati ya CHADEMA , CUF, NCCR na NLD hakitakuwa na wabinge wengi kuzidi CCM, Lowasa atalazimishwa na Katiba kwenda kuteua Waziri Mkuu toka ccm. Sababu ni kwamba, ni lazima waziri mkuu ateuliwe toka chama chenye wabunge wengi katika bunge. Maana yake, akiteua waziri mkuu toka ccm hiyo tayari ni serikali ya mseto bila hiari
 
haa haa kati ya mafisadi 11 waliotajwa pale mwembe yanga 10 wako ccm. za kuambiwa changanya na za kwako....
Suala hapa tunashindanisha wagombea urais ( Magufuli na Lowassa)...Issue ya hao 10 wengine sio relevant kwasasa tunachambua watia nia nanuadilifu wao
 
Mkuu usijidanganye hamasa ipo katika level ya urais tu na hiyo ni kwa sababu ya yeye EL kama yeye na sio nguvu ya UKAWA. Alafu unakiwa ujue PM atatoka kwenye chama chenye wabunge wengi na sio UKAWA

Kwa hamasa na mvuto alionao EL angeweza toa changamoto hata kama angeenda CHAUMA.Na lengo lake kuu ni kushinda urais basi hata kama atapata PM kutoka CCM

Nakuomba uheshimu maoni yangu hata kama hukubaliani nayo. Mimi sikubaliani na maoni yako na bado nimekuheshimu. Kejeli na mipasho si unazijua zinakotokea?
 
Nakuomba uheshimu maoni yangu hata kama hukubaliani nayo. Mimi sikubaliani na maoni yako na bado nimekuheshimu. Kejeli na mipasho si unazijua zinakotokea?

mkuu nisamehe kama kuna sehemu unaona nimekukejeli kama unavyodai, sio malengo yangu
 
Hivi Mwizi tangu lini akawa na Mvuto? Jambazi Sugu hana mvuto wowote ni ujinga tu wa Mbowe na tamaa yake ya pesa. Kusema EL ana mvuto ni dhihaka tu na wala sio hoja. Angekuwa na mvuto si mngeenda kunywa nae chai? Kama kura zingekuwa zinapigwa na wanaokula peremende za EL hapa JF basi ni kweli. EL amewashika pabaya hivi mnaombea uchaguzi uahirihwe ili muendelee kufaidi peremende maana mtakuwa mahohehahe.

…kwa kuwa matusi yameruhusiwa kwenye uzi huu, jimwage mwana kwetu…
 
NO;Ukawa jumlisha vyote kuteua waziri mkuu maana lazima wanaofanana wawe upande mmoja; ccm unless ivuke 51 kuwa na command majority hata kwa ukawa; wasipovuka na hivyio total ya ukawa ikawa mbele basi wamekwisha waziri atatokana na chama kikubwa nadani ya ukawa na ukawa wote watakuwa sehem ya serrikali ya mseto huku CCM na ACT may be wakiwa wapinzani
Bob, bila shaka hujui unacho ongea, katiba inataka WM atoke chama chenye wabunge wengi bungeni, UKAWA si chama kwa hiyo wataangalia Kati ya CCM vs CDM, hata kama UKAWA wakiwa wana wabunge wengi which is not realistic so far, CDM or CUF peke yake haiwezi kuwa na wabunge zaidi ya CCM, so acha kuota ndoto za alina nacha, kwenye huu uchaguzi CDM washinde or washindwe wameuza chama tayari. Tumeletewa wagombea wawili wa CCM kwenye uchaguzi mmoja na kuimbishwa propaganda za mabadiliko
 
Kila kona imejaa maswali nini kitajiri baada ya uchaguzi kufanyika..Mabadiliko yameshindikana katika nchi kadhaa Afrika sababu ya uchu wa madaraka haswa kwa vyama tawala ambavyo mataifa fulani yana neemeka kupitia wao..Wakenya walikufa sana 2007,Wenzetu Zanzibari Walikubali Yeshe,Kina Mugabe wanafia Ikulu,Misri hoi..Alicho sema Magufuli kuhusu nchi kua machafukoni kama Libya si chakubeza.
Kwa pamoja na kidemocrasia tukaamua Kumpa kura LOWASA, ila kwa nguvu ya Chama tawala ikawa Vigumu kukubali matokeo Kama zilivyofanya tawala za nchi fulani.Kisha tukaasi na tukauana..Kisha wakawaleta wapatanishi wao Ili MAGUFULI "CHAMA TAWALA" AWE RAIS NA LOWASA "TEAM MALOFA" AWE WAZIRI MKUU..Hivyo mabadiliko tunayoyataka si Kirahisi na kwa kauli ya Magufuli ni dhahili nchi Haitokua salama.
 
Sina takwimu kamili ya idadi ya watu wanaounga mkono CCM na UKAWA, lakini hata mwendawazimu anafahamu kuwa kila kundi lina wafuasi wa kutosha. Yeyote atakayeshinda lazima afahamu kuwa kuna watanzania wengi saana ambao hawakumchagua na hawamuungi mkono.

Katika demokrasia za nchi changa kama yetu hali kama hii haileti afya njema kwa taifa na maendeleo yake. Kuna wazuri wako CCM na vyama vya upinzani, pia wako wabaya wako CCM na UKAWA (upinzani). Hebu tuharakishe maendeleo yetu kwa kufikiria kuunda serikali ya mrengo wa kati kwa kujumuisha wazuri kutoka vyama vyote vyenye wafuasi wengi kwenye serikali baada ya uchaguzi.

Tusisubiri watu wengine waje kutusaidia mazungumzo ya namna ya kuunda serikali ya mseto baada ya mambo kuvurugika.

Naomba kuwasilisha hoja.
 
Kutokana na mambo yalivyo katika kampeni,kuna haja ya serikali ya mseto,ili kuepusha misuguano itakayo angusha uchumi kabisa,nivizuri mapema vyama vyote vikae viangalie mbele kwa niaba ya wanachi ili vikubaliane kuunda serikali ya mseto baada ya uchaguzi,kwa hali inavyoonekana bila wanasiasa kupitia vyama vyao kuangalia mbele zaidi ya uchaguzi,na mapema kujadili la kufanya kwa maslahi ya taifa hili,watashituka wakati mambo yamekwisha haribika na nivigumu kwa wakati huo kusikilizana.kwa maslahi mapana ya nchii tuanze mapema
 
Serikali ya mseto ni upuuzi. Tutatafunwa hadi tukome. Maana hakuna atakaye piga kelele.
 
Kutokana na mambo yalivyo katika kampeni,kuna haja ya serikali ya mseto,ili kuepusha misuguano itakayo angusha uchumi kabisa,nivizuri mapema vyama vyote vikae viangalie mbele kwa niaba ya wanachi ili vikubaliane kuunda serikali ya mseto baada ya uchaguzi,kwa hali inavyoonekana bila wanasiasa kupitia vyama vyao kuangalia mbele zaidi ya uchaguzi,na mapema kujadili la kufanya kwa maslahi ya taifa hili,watashituka wakati mambo yamekwisha haribika na nivigumu kwa wakati huo kusikilizana.kwa maslahi mapana ya nchii tuanze mapema


Serikali ya mseto kwa wakina sugu na wakina msigwa kuandaa vijana wa kuzonea magufuli ,hatutaki serikali ya mseto wabaki wafanye uhuni wao huko magufuli hataki msaada wa wahuni kuongoza nchi
 
Mmeshaanza kuukubali mziki wa Lowassa eeh?
Hatutaki serikali ya mseto,maoni ya wengi yaheshimiwe.
 
Magufuli ataki wahuni wanaoanda vijana wa kuzomea viongozi kwenye serikali yake ,anajiweza,akili safi,afya bomba ya kusimamia miradi ya maendeleo mguu kwa mguu peke yake,
 
Nne, hata ukawa wakishinda sio rahisi ccm wakakubali kirahisi zaidi itabidi waingie kwenye maridhiano.

Hapo ndipo utakapoiona "Nguvu ya umma"[/QUOTE]

Kwa ukawa hii ya wapiga dili wa bilcanas, richmond na ranch za morogoro hatutafika kwenye mseto. Udenda unawatoka ukawa kisa ikulu. Wameshaanza kuthaminisha utajiri wa gesi na mafuta huku wakitafuta huruma wanaccm kuwapigia kura.
 
Mmeshaanza kuukubali mziki wa Lowassa eeh?
Hatutaki serikali ya mseto,maoni ya wengi yaheshimiwe.

Mziki wa lowasa wapi mkuu? Watu wa itifaki wa nakwambia rais ambaye hawezi kuhutubia bunge,kuapisha wanajeshi,kuwakilisha taifa kwenye MIKUTANO ya kimataifa,ningumu kumpa nchi magufuli amir jeshi wa awamu ya tano
 
Back
Top Bottom