boyayoparuparu
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 343
- 82
Inakatisha tamaa mtu anaongea jambo muhimu tena baada ya kuangalia mbele,watu mnajitokeza kuchangia eti flani hafai,mmeanza kukubali nk silazima kuchangia kila kinachojadiliwa,tuangalie zaidi maslahi ya nchi