okonkwo jr
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 2,419
- 1,739
uko sawa mkuu lakini kabla ya kuwepo selikari ya mseto kutakuwa na machafuko kwa takribani mikoa saba,ukianza na dar!
Ni ukwelo ulio wazi, Mh Edward Lowassa anaweza kushinda uchaguzi wa october 25 sio kwa sababu kahamia UKAWA ila ni kwa sababu ya nguvu ya mvuto aliyo nayo yeye binafsi
Ni ukweli ulio wazi kuwa ushindi mkubwa wa chama chochote ndani ya UKAWA ni kati ya majimbo 40 hadi 60. Hivyo basi Lowassa atalazimika kurudi nyumbani kuteua PM
Kwa kuwa UKAWA na CCM watakuwa katika serikali moja, namuona Zitto akiwa mpinzani halisi hata kama atashinda peke yake ACT
Tutarudi kujuzana baada ya october...matusi kwenye huu uzi ruksa
Ni ukwelo ulio wazi, Mh Edward Lowassa anaweza kushinda uchaguzi wa october 25 sio kwa sababu kahamia UKAWA ila ni kwa sababu ya nguvu ya mvuto aliyo nayo yeye binafsi
Ni ukweli ulio wazi kuwa ushindi mkubwa wa chama chochote ndani ya UKAWA ni kati ya majimbo 40 hadi 60. Hivyo basi Lowassa atalazimika kurudi nyumbani kuteua PM
Kwa kuwa UKAWA na CCM watakuwa katika serikali moja, namuona Zitto akiwa mpinzani halisi hata kama atashinda peke yake ACT
Tutarudi kujuzana baada ya october...matusi kwenye huu uzi ruksa
:bange: Serikali ya Mseto unavoidable...
Ni ukwelo ulio wazi, Mh Edward Lowassa anaweza kushinda uchaguzi wa october 25 sio kwa sababu kahamia UKAWA ila ni kwa sababu ya nguvu ya mvuto aliyo nayo yeye binafsi
Ni ukweli ulio wazi kuwa ushindi mkubwa wa chama chochote ndani ya UKAWA ni kati ya majimbo 40 hadi 60. Hivyo basi Lowassa atalazimika kurudi nyumbani kuteua PM
Kwa kuwa UKAWA na CCM watakuwa katika serikali moja, namuona Zitto akiwa mpinzani halisi hata kama atashinda peke yake ACT
Tutarudi kujuzana baada ya october...matusi kwenye huu uzi ruksa
Lowassa kushinda, hilo halina ubishi. Zitto ataungana na Slaa na Lipumba kwenye chama cha ACT. Wasiwasi wangu hiyo combination sijui itazaa nini? maana wote ni watata.
Hivi Mwizi tangu lini akawa na Mvuto? Jambazi Sugu hana mvuto wowote ni ujinga tu wa Mbowe na tamaa yake ya pesa. Kusema EL ana mvuto ni dhihaka tu na wala sio hoja. Angekuwa na mvuto si mngeenda kunywa nae chai? Kama kura zingekuwa zinapigwa na wanaokula peremende za EL hapa JF basi ni kweli. EL amewashika pabaya hivi mnaombea uchaguzi uahirihwe ili muendelee kufaidi peremende maana mtakuwa mahohehahe.
Hivi Mwizi tangu lini akawa na Mvuto? Jambazi Sugu hana mvuto wowote ni ujinga tu wa Mbowe na tamaa yake ya pesa. Kusema EL ana mvuto ni dhihaka tu na wala sio hoja. Angekuwa na mvuto si mngeenda kunywa nae chai? Kama kura zingekuwa zinapigwa na wanaokula peremende za EL hapa JF basi ni kweli. EL amewashika pabaya hivi mnaombea uchaguzi uahirihwe ili muendelee kufaidi peremende maana mtakuwa mahohehahe.