Ibrahim. H
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 316
- 92
Jamani nyi bavicha mnahangaika kweli. Mara ccm imekufa mara. Ooooh!! Ccm itapotezwa vibaya. Sasa ivi mmeanza kurudi ooooh. Naona dalili za selikari ya mseto. Mmeshashaona maji ya shingoo eeeeeee
Serikali ya mseto? unaumwa wewe! wakupeleke milembe sa ivi
mirembe tayari kumejaa ma-CCM ndugu.