Naanza kuona dalili ya serikali ya mseto

Naanza kuona dalili ya serikali ya mseto

Mkuu hebu acha upuuzi wewe, watu wa kaskazini hawawezi kuishi na wa Kanda nyingine?????. Utakuwa hauishi Tanzania wewe, na unamezeshwa propaganda za CCM bila kuangalia uhalisia wewe. Hebu anza na hili swali, ktk selekali inayo maliza muda wake ccm ilikuwa na wabunge wangapi, madiwani wangapi, na selekali za mitaa kutoka kaskazini???......... Ujione ulivyo mpuuzi utakapo baini kuwa ccm ina kubalika kaskazini kuliko chama chochote.

Mkuu kwa mwana ccm yeyote kwa sasa amechanganyikiwa hivyo msamehe bure
 
Hakuna haja ya mseto kuendekeza mseto ni njia ya kuibeba ccm
 
hoja za Hawa jamaa Zinakera sana! sijui hawaoni kinachofanyika Ndani ya utawala mzima wa sisiem?!!

Mkuu ukombozi ndio nauona unakaribia na nikipindi ccm watalia na kusaga meno
 
Kujenga Ukaribu na Mtu Mwenye Nia Ya Kukuua Ni hatari Sana
 
Serikali ya mseto na CCM huo ni upumbavu Mkubwa usio na kifani.... CCM wamechoke... Hawafai tena huo ndio ukweli
 
Kutokana na vuguvugu la siasa nchini naanza kuona dalili za serikali ya mseto na itakuwa either rais magufuli waziri mkuu mbowe au rais lowassa waziri mkuu magufuli.
Hii naamini inaweza ikawa serikali inayoweza kuwatumikia wananchi kuliko serikali zote zilizopita.
Naomba mungu tusifike hapo kwa vurugu bali kuwepo na mashauliano.

Sababu kubwa ni ccm nguvu yake kubwa imepunguwa kwa wananchi na ukawa nguvu yao imeongezeka kwa wananchi.

Pili, kutokana na ujio wa lowassa ukawa sera zao zitabadilika kutoka sera za ufisadi na watakuja na sera za maendeleo kwa wananchi ambazo zitawajenga kisiasa.

Tatu, magufuli ndio nguzo pekee ambayo ccm wamebaki nayo na anapendwa na wananchi na hata ukawa hawatapenda wampoteze bali watakuwa tayari kushirikiana nae.

Nne, hata ukawa wakishinda sio rahisi ccm wakakubali kirahisi zaidi itabidi waingie kwenye maridhiano.


Weee! Utafanya mseto na Fisado, myagawanaje mali, ukilataa si atakuua usijetoa ushahidi dhidi yake? Utakuwaje mseto na Msigwa, au Sugu, wanarubuni walalahoi kupiga mawe misafara ya watu? Mswalie Mtume!
 
Kwa katiba ipi inayosema habar za mseto? Serkal ya mseto labda 2020,,,,,, sahv magufuli atashinda hata kwa tofaut ya kura 7 tu
 
Magufuli waziri mkuu!!!??? Kwa katiba IPI?? Kwani magufuli anagombea jimbo gani ? Kasome katiba vizuri
 
Kutokana na vuguvugu la siasa nchini naanza kuona dalili za serikali ya mseto na itakuwa either rais magufuli waziri mkuu mbowe au rais lowassa waziri mkuu magufuli.
Hii naamini inaweza ikawa serikali inayoweza kuwatumikia wananchi kuliko serikali zote zilizopita.
Naomba mungu tusifike hapo kwa vurugu bali kuwepo na mashauliano.

Sababu kubwa ni ccm nguvu yake kubwa imepunguwa kwa wananchi na ukawa nguvu yao imeongezeka kwa wananchi.

Pili, kutokana na ujio wa lowassa ukawa sera zao zitabadilika kutoka sera za ufisadi na watakuja na sera za maendeleo kwa wananchi ambazo zitawajenga kisiasa.

Tatu, magufuli ndio nguzo pekee ambayo ccm wamebaki nayo na anapendwa na wananchi na hata ukawa hawatapenda wampoteze bali watakuwa tayari kushirikiana nae.

Nne, hata ukawa wakishinda sio rahisi ccm wakakubali kirahisi zaidi itabidi waingie kwenye maridhiano.

nilifikiri nimeliona hili peke yangu, uko right mkuu!
 
The rule winner takes it all ...should apply!!
 
Back
Top Bottom