Naanza kuona dalili ya serikali ya mseto

Naanza kuona dalili ya serikali ya mseto

Hapo ndipo utakapoiona "Nguvu ya umma"

Kwa ukawa hii ya wapiga dili wa bilcanas, richmond na ranch za morogoro hatutafika kwenye mseto. Udenda unawatoka ukawa kisa ikulu. Wameshaanza kuthaminisha utajiri wa gesi na mafuta huku wakitafuta huruma wanaccm kuwapigia kura.[/QUOTE]

Mkuu wenye nchi wameishajipanga vizuri wanawacheka tu,mwaka huu haya majizi aliuoiba ccm Leo hii yamegeukia upande wa pili na kumtesa magufuli yataipata tu,hii nchi sio ya wajinga wate,
 
Hatutaki, magufuli anatosha na amesema wazi majizi yaliyoiba ccm na kukimbia na kumtesa Lisa pesa walizoiba imekula kwao,hatutaki yasubili mahakama ya mafisadi,
 
Sina takwimu kamili ya idadi ya watu wanaounga mkono CCM na UKAWA, lakini hata mwendawazimu anafahamu kuwa kila kundi lina wafuasi wa kutosha. Yeyote atakayeshinda lazima afahamu kuwa kuna watanzania wengi saana ambao hawakumchagua na hawamuungi mkono.

Katika demokrasia za nchi changa kama yetu hali kama hii haileti afya njema kwa taifa na maendeleo yake. Kuna wazuri wako CCM na vyama vya upinzani, pia wako wabaya wako CCM na UKAWA (upinzani). Hebu tuharakishe maendeleo yetu kwa kufikiria kuunda serikali ya mrengo wa kati kwa kujumuisha wazuri kutoka vyama vyote vyenye wafuasi wengi kwenye serikali baada ya uchaguzi.

Tusisubiri watu wengine waje kutusaidia mazungumzo ya namna ya kuunda serikali ya mseto baada ya mambo kuvurugika.

Naomba kuwasilisha hoja.

Hii kitu ndio kete pekee iliyobaki CCM ,kwa Bahati mbaya Lowasa atashinda kwa 68% hivyo coalition yenu mkaanzishe na wakuu wenu Wa wilaya na madiwani wenu ,Ikulu lowasa anatosha
 
Wenye nchi wameishapanga fisadi kamwe hata ingia ikulu,
 
Kutokana na vuguvugu la siasa nchini naanza kuona dalili za serikali ya mseto na itakuwa either rais magufuli waziri mkuu mbowe au rais lowassa waziri mkuu magufuli.
Hii naamini inaweza ikawa serikali inayoweza kuwatumikia wananchi kuliko serikali zote zilizopita.
Naomba mungu tusifike hapo kwa vurugu bali kuwepo na mashauliano.

Sababu kubwa ni ccm nguvu yake kubwa imepunguwa kwa wananchi na ukawa nguvu yao imeongezeka kwa wananchi.

Pili, kutokana na ujio wa lowassa ukawa sera zao zitabadilika kutoka sera za ufisadi na watakuja na sera za maendeleo kwa wananchi ambazo zitawajenga kisiasa.

Tatu, magufuli ndio nguzo pekee ambayo ccm wamebaki nayo na anapendwa na wananchi na hata ukawa hawatapenda wampoteze bali watakuwa tayari kushirikiana nae.

Nne, hata ukawa wakishinda sio rahisi ccm wakakubali kirahisi zaidi itabidi waingie kwenye maridhiano.

Hiyo no 4 umebugi,kama ukawa ikishinda ccm kwanini wakatae kwani ccm ni nini hapa duniani?ccm ikishindwa inakaa pembeni hakuna chama kilicho mbele zaidi ya taifa
 
Aiseee collabo la magufuli na Mbowe nchi itawaka wato ni kama gari kulazimishwa kuondokea gia namba tano maninaaa
 
Hii kitu ndio kete pekee iliyobaki CCM ,kwa Bahati mbaya Lowasa atashinda kwa 68% hivyo coalition yenu mkaanzishe na wakuu wenu Wa wilaya na madiwani wenu ,Ikulu lowasa anatosha

Pole sana hizo tafiti za babu majuto nini kawasaidia maana yule aliyetoa aslimia 54% wamemuanika waziwazi nagazetini,pia kama unafikili fisadi atakuwa rais wa nchi hii pole sana,
 
Mchezo wa kuiba ccm then ukakibilia ukawa,ukaiba ukawa ukakimbilia act hii Kansas tukiiruhusu kwa sababu ya siasa za maji taka itatutafuna adi kizazi na kizazi,
 
Ccm hawana jeuri ya kukataa kutoka madarakani wakati watanzania wameamua kuwakataa kupitia sanduku la kura

Wewe usitusemee wengine hatuwezi kupigia kura kundi LA majizi lililokinbilia upande wa pili na kutumia pesa hizohizo walizotuibia kununua chama,
 
Kwa ukawa hii ya wapiga dili wa bilcanas, richmond na ranch za morogoro hatutafika kwenye mseto. Udenda unawatoka ukawa kisa ikulu. Wameshaanza kuthaminisha utajiri wa gesi na mafuta huku wakitafuta huruma wanaccm kuwapigia kura.

Mkuu wenye nchi wameishajipanga vizuri wanawacheka tu,mwaka huu haya majizi aliuoiba ccm Leo hii yamegeukia upande wa pili na kumtesa magufuli yataipata tu,hii nchi sio ya wajinga wate,[/QUOTE]

Tuna shaka na uraia wako
 
Wewe usitusemee wengine hatuwezi kupigia kura kundi LA majizi lililokinbilia upande wa pili na kutumia pesa hizohizo walizotuibia kununua chama,

Wewe kwanza siyo raia hivyo huna haki ya kupiga kura
 
Wewe usitusemee wengine hatuwezi kupigia kura kundi LA majizi lililokinbilia upande wa pili na kutumia pesa hizohizo walizotuibia kununua chama,

Hivi aliye zomewa juzi kule mbeya ni nani vile?
 
UKAWA mnapigwa bao na hakuna serikali ya mseto itakayoundwa. Rais wetu ni Magufuli tu, CCM bado ina wanachama wengi sana, haijawahi kukodi watu toka kwenye mkoa mmoja kwenda kwenye mkoa mwingine kama wafanyavyo waungwana wengine kisha wanaita nyomi.

Idadi ya wanachama wa CCM ni kubwa sana tofauti na vyama vyote vya siasa vya upinzani hata kama wakijumlishwa.

Waliohama ndani ya CCM si wengi kiasi cha kupunguza idadi ya wanachama wa CCM hadi ikaleta madhara

Mipasuko inayoendelea kutokea ukawa inazidi kupunguza idadi ya wanachama wa upinzani watakaoipigia kura UKAWA

Imani ya Watanzania juu ya mgombea Urais kupitia CCM ni kubwa zaidi ikilinganishwa na imani ya watu kwa mgombea wa ukawa

Uwezo na sifa za Magufuli ni mkubwa sana mbele ya wananchi kwakua hana kashfa ya wizi wala rekodi ya utendaji mbovu ikilinganishwa na lowasa aliyeweka rekodi ya wizi kila sehemu aliyowahi kufanyia kazi. Lowasa aliwahi kuiba hata pesa za ujenzi wa ofisi ya TANU aliyotumwa asimamie kuijenga.

Dalili ya kuundwa kwa serikali ya mseto haipo kabisa, mshindi atakuwa mmoja tu na ndiye atakayekwenda ikulu, si mwingine ni John Joseph Pombe Magufuli
 
Pole sana hizo tafiti za babu majuto nini kawasaidia maana yule aliyetoa aslimia 54% wamemuanika waziwazi nagazetini,pia kama unafikili fisadi atakuwa rais wa nchi hii pole sana,

Bado una mawazo ya Fisadi kushinda ?? Mbona huko tulishatoka siku nyingi karibu kwenye mabadiliko
 
kutokana na vuguvugu la siasa nchini naanza kuona dalili za serikali ya mseto na itakuwa either rais magufuli waziri mkuu mbowe au rais lowassa waziri mkuu magufuli.
Hii naamini inaweza ikawa serikali inayoweza kuwatumikia wananchi kuliko serikali zote zilizopita.
Naomba mungu tusifike hapo kwa vurugu bali kuwepo na mashauliano.

Sababu kubwa ni ccm nguvu yake kubwa imepunguwa kwa wananchi na ukawa nguvu yao imeongezeka kwa wananchi.

Pili, kutokana na ujio wa lowassa ukawa sera zao zitabadilika kutoka sera za ufisadi na watakuja na sera za maendeleo kwa wananchi ambazo zitawajenga kisiasa.

Tatu, magufuli ndio nguzo pekee ambayo ccm wamebaki nayo na anapendwa na wananchi na hata ukawa hawatapenda wampoteze bali watakuwa tayari kushirikiana nae.

Nne, hata ukawa wakishinda sio rahisi ccm wakakubali kirahisi zaidi itabidi waingie kwenye maridhiano.


hakuna serikali ya mseto kabisa, ccm haitokuwa rahisi kukubali kufanya kazi na wapinzani. Ccm watakuwa na wabunge wengi pia kutakuwa na uwamuzi wa rais kuunda serikali yake bila kuweka hata kiumbe mmoja wa upinzani.
 
Mbowe HAWEZI NA HANA SIFA za kuwa waziri mkuu. Na ni serikali gani ya mseto unayosema ya mseto? nachoomba ni wabbunge wa upinzani wawe na sauti zaidi ya kuzuia kitu kama ni cha kipuuzi, yaani wawe wengi ila Mbowe asiwe mmoja wa hao wabunge.
 
Back
Top Bottom