Lavan Island
JF-Expert Member
- Oct 24, 2015
- 2,377
- 2,041
Mwenye wizara ametetea kwa kusema bei imepanda kulingana vita ya Ukraine halafu akasema huko ulaya pia nao wamepandisha bei kwa hiyo bei imepanda kihalali
Yani hawa wauza mafuta wanajua kupandisha tu sio kushusha hii bidhaa na hapo wakisema ishuke utakuwa mzozo.
Yani hawa wauza mafuta wanajua kupandisha tu sio kushusha hii bidhaa na hapo wakisema ishuke utakuwa mzozo.