Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,144
- 26,646
Kabisa, eti ufunge ,uombe upate mtt bila ndoa,Mungu gani huyo?hapana jmn tumuogope MunguKifupi tu ni kuwa MAFAILI YAMECHANGANYIKANA NA KUJIMIX MNO HUKO KWA MEDULA YAKO.
1. Kuujenga uhusiano kwenye imani sana, na kwa kufunga na maombi, huku upande wa pili mnatafuta mtoto kabla ya ndoa ni dalili za kuchanganyikiwa
2. Kudhania kuwa mchumba alilaghaiwa kwa ushirikina akienda kutoa mbususu mpaka akapata ujauzito, na huku nyie ni watu wa kufunga na kuomba ni dalili za kuchanganyikiwa.
3. Kama maombi na mifungo imekupelekea kuwa na amani kama baba mlezi wa mtoto uliyebambikiwa, then why uombe ushauri? Uishi nao, usiwatelekeze, ila jua wife anajua kabisa kuwa kabahatika kupata Mento