Naangamia naombeni msaada kukwepa hii laana

Aisee, hakuna kitu ambacho hakivumiliki kama usaliti. We umewezaje kuvumilia mkuu?. Anyway, zidi kumshirikisha Mungu kupitia maombi Ili akupe nguvu zaidi na njia sahihi ya kulitatua Hilo jambo. Pole Sana .
Mimi mwenyewe na shangaa na kila mtu ananishangaa nimewezaje , na amani inatawala kabisa kama hakuna kilichotokea, ila nikitaka kuwatelekeza moyo na nafsi vinagoma kabisa kabisa.. nimejaribu mara kadhaa nimeshindwa kabisa kufanya hivyo
 
Una muda mrefu sana hujalala
Na mwanamke mpya embu tafuta mwanamke mwingine achana nae huyo ashatumika. Usimwonee huruma mwanamke aliyekusaliti atakuua.
 
Mimi mwenyewe na shangaa na kila mtu ananishangaa nimewezaje , na amani inatawala kabisa kama hakuna kilichotokea, ila nikitaka kuwatelekeza moyo na nafsi vinagoma kabisa kabisa.. nimejaribu mara kadhaa nimeshindwa kabisa kufanya hivyo
Basi sikiliza moyo wako unasemaje mkuu. Kaa nao tu na msamehe. Maana apa duniani amani ndiyo inayotakiwa ktk familia zetu.

Lakini unatakiwa kuwa makini Sana na huyo bidada, muda wwte ule anaweza akakucheat upya na kilio kikaja upya. Maana kama ameokoka tu lkn bd akaenda chepuka, je uko mbeleni itakuwaje?. Pole Sana, binadamu hatujakamilika.
 
Naandika kwa uchungu sana..

Yapata muda mrefu sana nilikua na mpenzi wangu na nilitarajia kumuoa hivi karibuni, ila kabla ya kuoana tulikua tunatafuta mtoto na nilitoa unabii mtoto wa kwanza atakua ni wakike na kweli kawa wa kike kama nilivyo nena..

Kilichotokea ni hivi mahusiano yetu yalijengwa sana katika misingi ya imani kwa Mwenyezi Mungu na Mungu alitujalia tukavuka mpaka hapa..

Cha ajabu sana ni kwamba alipokua mjamzito wa mimba changa alijichanganya na kwenda kukutana na mwanaume mwingine ambae alimlagai kwa nguvu alizo amuakuzitumia yeye sijui kama ni zagiza au laha hasha?;!! Ikabidi ampe ule ujauzito , nilikua mpole na sikua na haraka niliacha mtoto azaliwe na alipo kua na miezi kadhaa tuliamua kwenda kupima nae Vipimo vya DNA kutokana na yeye aliniambia hakutoa mimba wala mimba haiku haribika .. Majibu yalitoka na niliambiwa na uhusiano wa vinasaba mara nne (4) na mtoto... japo sijafika asilimia za kua baba wa mtoto.

Nilipiga tathimini za kidunia nikapanga nimtelekeze abaki na huyo baba mwingine lakini mpaka sasa moyo na nafsi vimekataa kabisa kumkana mtoto na huyu mama yake, nimeingia kwenye maombi nikiomba na kufunga kama kunanguvu yeyote ikatike lakini cha ajabu moyo na nafsi bado vimekataa kukana mtoto na kila nikifikiria nasikia sauti inaniambia usifanye hivyo ni wa kwako nimeomba sana nimechoka imani inafika ukingoni nimejaribu kufanya maamuzi kidunia nafsi inanisuta sana na nikimwona mtoto na mam yake moyo unauma na sikia moto unachoma nafsini na sauti inaniambia ni wa kwangu japo na jaribu kushupaza kichwa ila hiyo kelele inapiga sana kichwani na ndani ya moyo wangu kuwa nisiwakane ni wachukue ni wangu nikaishinao..

Mara ya Mwisho nimeomba nikamwambia Mungu kama nimipango yako basi nikikaa nao pamoja tuwe na amani .. cha kushangaza Amani inatawala utafikiria hakuna kilichotokea kabisa kabisa hali iliyo nifanya nimebaki njia panda kabisa kabisa yani nipo kama nimepigwa giza machoni nuru hakuna mbele sioni kabisa bali naona hii ndio familia yangu na mke wangu na sii mwingine mwenye huyu mtoto bali ni mimi.

Naombeni sana mnishauri nifanyeje maana kiukweli sijui kwanini imekua hivi mpaka nahisi nikitumia nguvu kuwatelekeza hasahasa mtoto nitapata laana kubwa sana naombeni mnipe msaada wa kiroho na kimwili.. asanteni sana
Kama Mungu ameshindwa kukushauri na ukashindwa kumuelewa sisi walimwengu tulio dhikini utatupalia dhambi zako ziwe juu yetu.

Msikilize sir God only
 
Yaani mwanamke kakiri kwako wewe mumewe kwamba kaenda kwa mwanaume mwingine nje na wewe mume wake ,kavua nguo zote ikiwemo chupppi yake kisha akaambiwa panua akapanua akaulizwa nikuingizie ***** yoteeee, au kichwa tu , akajibu ingiza utakavyo, akaingiziwa , akasuguliwa weeeeeeee, jamaa akamwambia sasa mama fulani mke wa nanihii ....akaitikia abeee, akaambiwa nataka kukojoa shahawa ~ akaulizwa tena nikukojolee ndani au niichomoe °°°°°°°° nikojolee nje? Akajibu "we kojolea tu humohumo kwa ndani ndio tamu zaidi". Akakojolewa akanasa mimba, kisha akatoka pale akakuletea wewe mumewe nyumbani.

Ukakaa ukatafakari hayo yoooote , ukashusha na maombi lakini bado umebaki njia panda pamoja na kupima DNA vipimo vikasema mwana huyo si wako.

Kitanda hakizai haramu, kooooh!.....kooooh!!!!!!
 
Mimi mwenyewe na shangaa na kila mtu ananishangaa nimewezaje , na amani inatawala kabisa kama hakuna kilichotokea, ila nikitaka kuwatelekeza moyo na nafsi vinagoma kabisa kabisa.. nimejaribu mara kadhaa nimeshindwa kabisa kufanya hivyo
Huyo mwanamke anasema kwakweli nimepata lofa. Kama ni limbwata hili limekolea.
 
Yaani mwanamke kakiri kwako wewe mumewe kwamba kaenda kwa mwanaume mwingine nje na wewe mume wake ,kavua nguo zote ikiwemo chupppi yake kisha akaambiwa panua akapanua akaulizwa nikuingizie ***** yoteeee, au kichwa tu , akajibu ingiza utakavyo, akaingiziwa , akasuguliwa weeeeeeee, jamaa akamwambia sasa mama fulani mke wa nanihii ....akaitikia abeee, akaambiwa nataka kukojoa shahawa ~ akaulizwa tena nikukojolee ndani au niichomoe °°°°°°°° nikojolee nje? Akajibu "we kojolea tu humohumo kwa ndani ndio tamu zaidi". Akakojolewa akanasa mimba, kisha akatoka pale akakuletea wewe mumewe nyumbani.

Ukakaa ukatafakari hayo yoooote , ukashusha na maombi lakini bado umebaki njia panda pamoja na kupima DNA vipimo vikasema mwana huyo si wako.

Kitanda hakizai haramu, kooooh!.....kooooh!!!!!!
😂😂😂
Umetisha mkuu!
 
Acha na wao washike nafasi pengine ndio watakaoanzisha njia ya ukombozi wa pili.
 
Naandika kwa uchungu sana..

Yapata muda mrefu sana nilikua na mpenzi wangu na nilitarajia kumuoa hivi karibuni, ila kabla ya kuoana tulikua tunatafuta mtoto na nilitoa unabii mtoto wa kwanza atakua ni wakike na kweli kawa wa kike kama nilivyo nena..

Kilichotokea ni hivi mahusiano yetu yalijengwa sana katika misingi ya imani kwa Mwenyezi Mungu na Mungu alitujalia tukavuka mpaka hapa..

Cha ajabu sana ni kwamba alipokua mjamzito wa mimba changa alijichanganya na kwenda kukutana na mwanaume mwingine ambae alimlagai kwa nguvu alizo amuakuzitumia yeye sijui kama ni zagiza au laha hasha?;!! Ikabidi ampe ule ujauzito , nilikua mpole na sikua na haraka niliacha mtoto azaliwe na alipo kua na miezi kadhaa tuliamua kwenda kupima nae Vipimo vya DNA kutokana na yeye aliniambia hakutoa mimba wala mimba haiku haribika .. Majibu yalitoka na niliambiwa na uhusiano wa vinasaba mara nne (4) na mtoto... japo sijafika asilimia za kua baba wa mtoto.

Nilipiga tathimini za kidunia nikapanga nimtelekeze abaki na huyo baba mwingine lakini mpaka sasa moyo na nafsi vimekataa kabisa kumkana mtoto na huyu mama yake, nimeingia kwenye maombi nikiomba na kufunga kama kunanguvu yeyote ikatike lakini cha ajabu moyo na nafsi bado vimekataa kukana mtoto na kila nikifikiria nasikia sauti inaniambia usifanye hivyo ni wa kwako nimeomba sana nimechoka imani inafika ukingoni nimejaribu kufanya maamuzi kidunia nafsi inanisuta sana na nikimwona mtoto na mam yake moyo unauma na sikia moto unachoma nafsini na sauti inaniambia ni wa kwangu japo na jaribu kushupaza kichwa ila hiyo kelele inapiga sana kichwani na ndani ya moyo wangu kuwa nisiwakane ni wachukue ni wangu nikaishinao..

Mara ya Mwisho nimeomba nikamwambia Mungu kama nimipango yako basi nikikaa nao pamoja tuwe na amani .. cha kushangaza Amani inatawala utafikiria hakuna kilichotokea kabisa kabisa hali iliyo nifanya nimebaki njia panda kabisa kabisa yani nipo kama nimepigwa giza machoni nuru hakuna mbele sioni kabisa bali naona hii ndio familia yangu na mke wangu na sii mwingine mwenye huyu mtoto bali ni mimi.

Naombeni sana mnishauri nifanyeje maana kiukweli sijui kwanini imekua hivi mpaka nahisi nikitumia nguvu kuwatelekeza hasahasa mtoto nitapata laana kubwa sana naombeni mnipe msaada wa kiroho na kimwili.. asanteni sana
Wewe unahitaji muda bado wa kuamua,jipe muda acha kukurupuka!
Halafu mlikuwa mnatafutaje mtt bila ndoa?
Jmn Mungu sio mjomba!

We unatakiwa ukae kwenye maombi ya toba na rehema basi hutakiwi kuomba kingine,na utashangaa!
Simamia hapa ,matendo 3:17,isome vzr kwa makini,halafu ba!
 
Back
Top Bottom