Joyce wohwoh
Member
- Sep 17, 2021
- 78
- 180
Msaada tafadhali, nataka kuagiza gari Japan, naomba kujua mambo yafuatayo.
1. Je naweza kufanya clearance mwenyewe bila kutumia agent? Yaani nitoe gari mwenyewe bandarini bila msaada wa agent?
2. Je CIF inainclude nini na nini coz beforward nimeinquire price wamenitumia but wanasema hiyo bei ya CIF haijumuishi inspection, nikajiuliza kwa hyo natakiwa kulipia tena inspection huko Japan?
1. Je naweza kufanya clearance mwenyewe bila kutumia agent? Yaani nitoe gari mwenyewe bandarini bila msaada wa agent?
2. Je CIF inainclude nini na nini coz beforward nimeinquire price wamenitumia but wanasema hiyo bei ya CIF haijumuishi inspection, nikajiuliza kwa hyo natakiwa kulipia tena inspection huko Japan?