BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,215
- 39,039
Wakuu salama?
Kwanza kabisa niwashukuru wanajukwaa hili kwa ushirikiano mzuri mlionipa kabla sijaagiza chombo.
Nilikua sina uzoefu wa kuagiza hivyo ilikua mara yangu ya kwanza lakini nilifanikiwa na chuma ilifika imenyooka sana.
Nilitembelea kampuni Nyingi sana za japan kama Beforward, sbt, enhance, trust, autocom na real motors.
Nilitumia kama week mbili kutafuta gari lengo ilikua kwaajili ya wife hivo alikua anataka pearl white. Beforward niliona gari za kawaida na kama ukipata imenyooka bhs na bei imenyooka pia, SBT gari zao ni za kawaida sana na nyingi zmeenda mileage.
Nikatembelea trust na enhance kiukwel hawa wanagari kali sana hata bei zao zmenyooka pia. Mwisho wa siku nikatembelea AUTOCOM JAPAN hawa watu wana gari kali sana afu bei poa.
Baada yakupata gari tunayotaka nika regsta mjapan akanichek whatsapp akajitambulisha japo sikumzingatia nikamtumia ist tuliyoipenda ilikua $2620 C&F tukabargain mpaka $ 2220 so alinipa discount ya $400. Gari ilikua Auction Grade 4
Asbh akanichek anitengenezee invoice nikakubali niliwaza nikiikosa ndo bhs gari nzuri macho huwa mengi. Akanitumia kwa whatsapp japo nilikua simwamini kabisa nikampiga piga maswali nikawashirikisha watu nikaenda mpaka ofisi zao posta pale wakasema iko sawa nilipie tu na mjapan wanamjua ndo sales officer mkuu na walishangaa discount kanipa kubwa sana hata wao huwa hawapewi so ilikua baht tu.
Utaratibu wa kulipia autocom ni unafanya international transfer (TT) yani unaweka cash kwenye A/c yako then wanatransfer kwenye account yao japan ili kuepusha third parties hawataki pesa ishikwe mkononi.
Nililipia 06/04 nakumbuka kesho yake akanichek akasema muamala ameuona so anaanza na inspection na kutafuta space kwenue shipping lines.
Nilisubir kama siku 50 mpaka naipata gari bandarini. Nikipiga hesabu gharama ya gari, kodi na clearing nmetumia kama 12.5 million
Gari kwa kweli nilivyoiona kwa macho laivu ni kali tofauti na inavokua mtandaoni gari imenyooka battery iko safi, engine fresh, imekuja na fog, spare tyre nilichobadilisha ni oil na filter na airfilter bhs. Gari ni inachanganya fasta haili mafuta iko gud sana. Gari imefika ina 66,000 mileage.
Siendi tena yard/ showroom gari naagza japan, shida uwe mvumilivu bhs kama unaharaka nenda showroom.
Kwanza kabisa niwashukuru wanajukwaa hili kwa ushirikiano mzuri mlionipa kabla sijaagiza chombo.
Nilikua sina uzoefu wa kuagiza hivyo ilikua mara yangu ya kwanza lakini nilifanikiwa na chuma ilifika imenyooka sana.
Nilitembelea kampuni Nyingi sana za japan kama Beforward, sbt, enhance, trust, autocom na real motors.
Nilitumia kama week mbili kutafuta gari lengo ilikua kwaajili ya wife hivo alikua anataka pearl white. Beforward niliona gari za kawaida na kama ukipata imenyooka bhs na bei imenyooka pia, SBT gari zao ni za kawaida sana na nyingi zmeenda mileage.
Nikatembelea trust na enhance kiukwel hawa wanagari kali sana hata bei zao zmenyooka pia. Mwisho wa siku nikatembelea AUTOCOM JAPAN hawa watu wana gari kali sana afu bei poa.
Baada yakupata gari tunayotaka nika regsta mjapan akanichek whatsapp akajitambulisha japo sikumzingatia nikamtumia ist tuliyoipenda ilikua $2620 C&F tukabargain mpaka $ 2220 so alinipa discount ya $400. Gari ilikua Auction Grade 4
Asbh akanichek anitengenezee invoice nikakubali niliwaza nikiikosa ndo bhs gari nzuri macho huwa mengi. Akanitumia kwa whatsapp japo nilikua simwamini kabisa nikampiga piga maswali nikawashirikisha watu nikaenda mpaka ofisi zao posta pale wakasema iko sawa nilipie tu na mjapan wanamjua ndo sales officer mkuu na walishangaa discount kanipa kubwa sana hata wao huwa hawapewi so ilikua baht tu.
Utaratibu wa kulipia autocom ni unafanya international transfer (TT) yani unaweka cash kwenye A/c yako then wanatransfer kwenye account yao japan ili kuepusha third parties hawataki pesa ishikwe mkononi.
Nililipia 06/04 nakumbuka kesho yake akanichek akasema muamala ameuona so anaanza na inspection na kutafuta space kwenue shipping lines.
Nilisubir kama siku 50 mpaka naipata gari bandarini. Nikipiga hesabu gharama ya gari, kodi na clearing nmetumia kama 12.5 million
Gari kwa kweli nilivyoiona kwa macho laivu ni kali tofauti na inavokua mtandaoni gari imenyooka battery iko safi, engine fresh, imekuja na fog, spare tyre nilichobadilisha ni oil na filter na airfilter bhs. Gari ni inachanganya fasta haili mafuta iko gud sana. Gari imefika ina 66,000 mileage.
Siendi tena yard/ showroom gari naagza japan, shida uwe mvumilivu bhs kama unaharaka nenda showroom.