poa shostiiiiSmile angalia usifike ule wakati wa kuchwa kutwa kuzunguka kwa wachungaji/mapadri kuombewa upate mchumba ilhali wakati ulikuwa nao mzuri tu ukawa unawamwaga kwa visingizio visivyokuwa na kichwa wala miguu! Cha msingi na kikubwa kinachomatter kwenye relation ni upendo mammaangu wewe hivyo vitu vingine ni spice tu as long as ukizingatia no one is perfect in this world!
kwani wote ni wabovu?
Naombeni kujua muda sahihi wa kukaa kwenye mahusiano kabla ya ndoa..
Maana huwa nashangaa kusikia nimekaa na mpenzi wangu miaka 6..7.. Hadi nane sijui blah blah nyiingi..
Mimi nikitongozana na mtu leo tukikubaliana kesho akinitibua tu sijui upokei simu .maquestion mark kichwani.... Mimi ndo mwisho hivo nasepa zangu fasta....... Nashindwa kuelewa wenzangu mna mioyo gani ya kudumu karne then mnaachana?
Mbona mtu mzushi siku ya kwanza tu utamjua?au mimi naona visivoonekana?
Miss indepent......Smile@
Know it all....atanieleza nini yule
Rule the world....ana kazi yake na mi nina yangu
Men are dogs......wanaume ni malaya hata umpe nini
Mwanaume sio wa kuchekea......if he plays arround, I just suck him out...
Kama haya ndo mafikira yako......uzee utakukuta na malalamiko haya haya
Smile hebu rudi kwenye mstari
Hivi hili ndo linakufanya umuone mtu kuwa hafai
Kutopokea simu au kutokukupigia simu
Au kutojibu sms
Sidhani
Angalia tena nini maana ya real love
yaani simu au sms kwangu ni kitu kidogo sana kama kuna ule upendo haswa wa kutoka rohoni mwake na anafanya yale yote yampasayo mtu amfanyie mpenzi wake
Jiulize kabla ya simu kulikuw ana njia gani ya mawasiliano
Usitumie simu kama kigezo cha kusema kuwa mtu hafai bana
Kuna watu wakifika majumbani mwao kutokana na shughuli za mchana kutwa hataki hata kuiona simu tena
Simshangai sana Smile,mabinti wengi wa karne hii mapenzi yao ni simu,facebook na mapozi mengi..Usipompigia simu nongwa anataka kila baada ya sasa upige darling nyingi,sweet..wizi mtupu!! au yeye akikupigia anataka upokee tu kuna wakati mtu unaweza kuwa unaongea kwenye meeting kwa mfano utapokea vp? au usipo comment au ku post kwenye wall yake ya facebook basi haumpendi.Smile endelea mama ila ukishazeeka hata uwe una smile muda wote hautampata mwenza,we jivunie ujana!!
ahaaa mi sipo hivo bwana...Simshangai sana Smile,mabinti wengi wa karne hii mapenzi yao ni simu,facebook na mapozi mengi..Usipompigia simu nongwa anataka kila baada ya saa upige darling nyingi,sweet..wizi mtupu!! au yeye akikupigia anataka upokee tu kuna wakati mtu unaweza kuwa unaongea kwenye meeting kwa mfano utapokea vp? au usipo comment au ku post kwenye wall yake ya facebook basi haumpendi.Smile endelea mama ila ukishazeeka hata uwe una smile muda wote hautampata mwenza,we jivunie ujana!!
...duh..inawezekana ukawa na First Eleven..isiyo dumu...yaani hakuna mwenye uhakika wa namba...Naombeni kujua muda sahihi wa kukaa kwenye mahusiano kabla ya ndoa..
Maana huwa nashangaa kusikia nimekaa na mpenzi wangu miaka 6..7.. Hadi nane sijui blah blah nyiingi..
Mimi nikitongozana na mtu leo tukikubaliana kesho akinitibua tu sijui upokei simu .maquestion mark kichwani.... Mimi ndo mwisho hivo nasepa zangu fasta....... Nashindwa kuelewa wenzangu mna mioyo gani ya kudumu karne then mnaachana?
Mbona mtu mzushi siku ya kwanza tu utamjua?au mimi naona visivoonekana?
Mtanzania Imara haya ndio mapenzi ya siku hizi
Kumjibu kwenye wall yake ya facebook na kumsifia kwenye picha yake aliyoweka muda sio mrefu
Na kila upatapo muda umpigie umuulizie hali
Je umekula darling au wafanya nini muda huu au jioni nikupitie twende dinner wapi
hayo ni mapenzi ya watoto wa shule ambao wana muda
Mtu kama una kazi zako huwezi muda wote ukawa unachat na simu au kujibu kila sms au kutembelea wall ya facebook ya mpenzi wako ujue ameweka status gani
Naombeni kujua muda sahihi wa kukaa kwenye mahusiano kabla ya ndoa..
Maana huwa nashangaa kusikia nimekaa na mpenzi wangu miaka 6..7.. Hadi nane sijui blah blah nyiingi..
Mimi nikitongozana na mtu leo tukikubaliana kesho akinitibua tu sijui upokei simu .maquestion mark kichwani.... Mimi ndo mwisho hivo nasepa zangu fasta....... Nashindwa kuelewa wenzangu mna mioyo gani ya kudumu karne then mnaachana?
Mbona mtu mzushi siku ya kwanza tu utamjua?au mimi naona visivoonekana?
Hiyo Facebook imewachota sana watu akili Mr Rocky we acha tu! Tumelala pamoja,tumeamka pamoja asubuhi na mapema nikamwambia happy birthday darling na kumpa kisi la nguvu..akaenda kazini nami nikaenda kuchakalika jioni nikamjia na kadi na ka zawadi ka birthday,nashangaa hana raha vipi tena? haujanitakia happy birthday kwenye facebook wall yangu,yaani watu wengine wamenipongeza kwenye facebook wewe haujanipongeza! Kwani facebook ni njia pekee ya mimi kukutakia happy birthday? siku mbili hakuwa na raha..yaani facebook imewakamata pabaya sana
ni watu wachache sana tuna upako wa aina hii......nilikuwa natafuta mwenzangu mwenye karama kama yangu.....kumbe ni wewe Smile......aaahh....halelluyahhhh.....