Naachana na mke wangu rasmi

Naachana na mke wangu rasmi

Huyo kumuacha sio njia sahihi, sana sana atajiona mshindi. So chakufanya wewe mpotezee jifanye kama humuoni na endelea na maisha yako. Kama una Maid home itakua vizuri zaidi kwakua kupika, kufua na matumizi ya home muache ayasimamie.
IV kwanza unajua kuishi Na mtu anae nuna nayo Ni karama iliyo tukuka maana ukinuna sura yawa nzito at kama uji Wa Dona
Umetoka job umechoka unakutana Na iyo sura sebleni alafu anavunga kama akuoni aiseeee .
 
Naam sasa usingemuacha tu kimya kimya? Sisis wana Jf hatuwezi kukuamulia bana, vip ukijua anamegwa na jamaa roho haitauma? If yes muache
 
Wakubwa wenzangu habarini za weeekend kwangu mimi weekend yangu haiko powaa kabisaa

Mke wangu ni mzuri ana hofu ya mungu ana kazi pia ananipenda ila huwa ana tabia ya kununa hovyo yaani hataki kukosolewa yaani kila nikimkosoa tutakaa siku tatu bila kuongea akiwa kanuna yaani lazma nimuombe msamaha hata kama kanikosea

Pia huwa ana tabia ya kunijaribu sanaa kama kuna kipindi nilimkuta anaongea na mtu usiku nikamwambia SIKUAMINI nakumbuka usiku ule ule alichukua begi lake akaondoka yaaani ndugu zangu nilifikilia sanaa nilipoksea sikupaonaa ila sikukata tamaa nikzidi kumwomba arudi home niliomba msamaha sanaa kisha akakuali akarudi

Kipindi kingine nilipika viazi na nyama nikazidisha mchuzi sikuamini macho yangu yaaani mamaa alikasilika sanaaa akakataa kula akaondoka kwa hasiraa kwenda kulala kwa dadaake kule pia nilitumia nguvu kubwa kumrudisha

Sasa hii ya sasa ndo imenikatisha tamaa yaani niko kikazi tanga mke wangu kuwa anapiga simu mda wote akidai kanimis nikamwambia ntarudi alhamis but nilipata emergrncy mke akakasirika sanaaa huku akisistiza simthamini pia akidai tuachene tuu sasa jana ndio nilirudi home akanipokea vizuri tuu nikamwomba msamaha kwa kumpa feki promis akasema kanismehe kumbe ana yake moyoni
alikataa kuongea na mimi tangu jana bila mimi kujua sababu hadi asubuhi namuaga naenda kazini kumalizia kipolo cha kazi akakasilika zaidi akaondoka pia kazini kwake bila hata kuniaga kitendo kile kimenishangaza sanaaa

Sasa ntaka nifanye mmamuzi magumu naona antaka ajifanye mwanamme ndani ya nyumba ntaka nimpe taraka naombeni ushauri
Aisee hapa nadhani kuna shida sana katikati yako na mkeo, na ninadhani ulikosea kwenye first aproach and treatment kwa mke wako ndio maana kwa sasa unapata shida kumrudisha awe kama mke na mama wa familia kuna mengi sana yanahitajika hapa kutueleza walau washauri tuweze kutafuta suluhu.

Lakini pia hawa biumbe kuna wakati mimba zao zikiwa changa hivi unaweza kutia taraka (baadhi ya wanawake lakin) maana huwa na tabia za ajabu sana kama huna busara unaweza vunja ndoa yako

Ila kama yuko sawa namaanisha hana mimba basi Kuna wakati unatakiwa kuwa mkali na misimamo na kuridhia anacho kitaka ili uweze kupata nin anataka na hapo usubiri chanzo cha ugomvi kiwe yeye, yaan yeye ndio awe mkosaji,

na hata kama atasema anataka kuondoka mwambie nenda na kama umeamua kuondoka usirud hapa tena maana umesha nichosha na tabia hizi ndoa gani imekuwa haina amani kila wakati ni migongano isiyo na tija na kama ataondoka usihangaike naye kabisa na ikiwezekana umblock kabisa ili uweze kupata majibu kama kadhamiria au ni kudeka kwake baada ya kugundua kuwa wewe ni muombaji sana msamaha kwake hata kwa kosa alilo lifanya yeye

Maana umesha mzoesha kuwa akichukia kidogo na kuondoka anajua utamfuata tu, sasa hali hiyo keshaigeuza kama fimbo ya kukuchapia , sasa jaribu kumtilia ngumu na ujikaze hata kama unaona utashidwa kama hanaa nia hiyo ata tafuta namna ya kuupata tu na wewe wala usiwe na presha naye jifanye kama ulisha amua kumuacha iwe zamu yake kukubembeleza, na siku akijishusha na kukubembeleza umsamehe huo ndio utakuwa mwanzo wa nidhamu kurudi. Hawa viumbe ukiona busara imetumika sana sana tena sana na imegonga ukuta tumia udikteta ili mambo yakae sawa.

ANGALIZO: lakin pia katika hili uwe umejiandaa kwamba liwalo na liwe A & B yote yawe majibu sahihi kwako, ila usimpe talaka, kama ni talaka ifuate baada ya hili kukupa majibu.
 
ulimdekeza wewe mwenyewe.ungekuwa mtoa talaka ungeshatoa,mpaka umekuja kuomba ushauri huku basi upo njia panda hauna msimamo mmoja,na ni dhahiri unaogopa kumpa hyo talaka,maana wewe ni kibonde wake na yeye analijua hilosasa hapa huwez pata ushauri kwa hyo ishu yako kwa sababu humu kila mtu na akili yake so utazidi kubaki njia panda tuu.
 
Dah pole mimi ndio mana mda mwingine naona bora nisimuoneahe mtu kama nampenda! Huyo anajua kuwa unampenda ndio mana analeta kiburi!

Raha ya kupendwa unatakiwa udeke sio kuleta kiburi! Alitakiwa adeke coz unampenda!

Sasa dawa ya hao watu ni kutafuta mzuri zaid yake ili uweze kumsahau haraka! Alaf nenda nae anavyotaka ukihitaji mahabba nyumba ndogo ipo kwa ajili yako!

Akiendelea talaka inamhusu!

Ila pia usisahau kuwashirikisha wazee huwenda wakatatua tatizo!
Nitafute nikupe hata buku jero ya vocha....
 
Kuna umuhimu wa kumtandika makofi hata matatu tu akili itakaa sawa
 
Umesema ana hofu na Mungu?Unajua haya maneno huwa yana nitatiza sana kama mtu ana hofu kweli angefanya yote hayo anayofanya?Au mie hiyo hofu unayoingelea siielewi?
Mimi pia aisee linanitatza kwel kila mtu anasema hofu ya mungu
 
Huyo ameshakuona ndezi, akose yeye umuombe msamaha yeye, huwezi hata kuachananae huku ni kutishia mtu mzima nyau, umeshashikwa ns ukashikika, unampa sifa za kijinga eti mcha Mungu, wacha Mungu wanakuwaga hivyo? Kila mtu na msalaba wake hapa duniani pambana na wako kama alivyofanya Yesu.
Mkuu tumeingiliwa skuiz wacha mungu kila sehem mpk wakweli atujui yupi na muongo yupi
 
Naona kama nafasi yako ya mwanaume hauitendei haki anajua kwake hufurukuti ndio maana anakuzingua sana. Pia nahisi hakupendi au kalazimishwa kuolewa na wewe. Kaa nae chini umweleze na unwambie achague moja.
Kweli. ..huyo Mke hampendi hata
 
Wakati mwingine nahisi kuna wanawake wanapenda kuchapwa makofi. Sasa wa hivi unaishi nae vipi, anyway kila mtu amepewa mzigo kutokana na uwezo wake wa kubeba.
Alafu ni mke wake mtarajiwa alisema
 
Back
Top Bottom