Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,400
Mwanamke lazima anune nune ndio inapendeza bana... ila huyo wako kazidi sasa... anything too much is harmful...
Nachojua mwanamke mpenzi au mke tayari kununa nuna ndio nature yao, ila ukishampetipeti na kumpiga p.umbu moja tu, hasira na kununa nuna saa hiyo hiyooo inaisha, ww kama mwanaume akianza kununa jihadhari sana usipende kulumbana sana, wanawake hawapendi malumbano sana, kama yuko karibu mkumbatie kwa mahaba kisha mweleze unachotaka kumwambia... mwanaume unatakiwa kuwa na huruma kwa mkeo na familia sana, ila asichukulie hiyo huruma yako kama UDHAIFU, KUKUDHARAU, ASIKUSIKILIZE, aanze mambo ya kitoto kununa wiki nzima, mara akutishie kukuacha hata kwa kitu kidogo, na anarudia rudia tabia hiyo, sijui nn na nn.. ukiona hivyo piga talaka haraka sana, hana adabu huyo, pum.bavu, hakulelewa huyo.. au ana mwanamume ndio anampa kiburi.. chunguza kidogo, nenda deep, kisha.. piga chini, TAKE A RISK usije regret all ur life..!! Maisha yenyewe yamejaa pressure, alafu akujazie mipresha mingine kibaooo kumbe ukute anapigwa pum.bu vibaya mno tu huko nje na msela hadi tigo inaliwa... take a risk man... piga chini... mwanamke wa hivyo mjinga, piga talaka moja kali sana, blalful..!!
Jamaa kama nakuona vile ulivyokua unaaandika



Punguza hasira
