Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,119
- 7,950
Hehe sina swali la nyongeza MTOTO WA MDUDU.....ambae pia ni MDUDU...Mama yangu kama mama yako...pia nae ni mdudu wa baba yangu...una swali la nyongeza/...hehe
Hehe sina swali la nyongeza MTOTO WA MDUDU.....ambae pia ni MDUDU...Mama yangu kama mama yako...pia nae ni mdudu wa baba yangu...una swali la nyongeza/...hehe
We nibembeleze bhanaMie niwe wa kubembeleza tuuuu, kaz ntafanya saa ngp?![]()
Sio akitoka asirudi, wakati anatafuta nguo na yeye amsaidie kumuandalia kila kilicho chake, akiondoka msela akatafute nyumba sehemu nyingine ahamie kuondokana na jinamizi la mwanamke na asongeshe maisha yake. Wanawake wengine wanasaga soli kwa waganga kutafuta mume huyu anabeep?Akitishia kuondoka mwambie akitoka asirudi... Hataondoka
Kwa maelezo haya sijui hata kama anapewa mzigo kwa wakati na kwa usahihi?Kaka pole, ukiendelea kumvumilia bila ya kukaa kwenye nafasi yako utakua either umewekwa ndondocha au mume bwege!
Ndio ni wadudu..inategemea wapo kundi gani,maana kuna senene na nzige...sasa watajipima wapi ni stahili yao.EBANA DAAAAAAH.... WANAWAKE NI WADUDU??????
Kwahiyo Miss Chagga mdudu..
Miss Natafuta mdudu..
Valentina mdudu...
LadyAJ mdudu...
Queen Drama mdudu...
JAMANI WADUDU MMECKIA HIYO?? SIO MIMI.
#Chief Eng
Acha udadisi wewe...huna adabu,nahic nawe utakuwa mdudu ehh!!!!Hehe sina swali la nyongeza MTOTO WA MDUDU.....ambae pia ni MDUDU...
Hahaha hio ni home work yako utajua mwenyeweAcha udadisi wewe...huna adabu,nahic nawe utakuwa mdudu ehh!!!!
Mnayatoa wapi Maneno kama haya!!!!! MhUnataka kumtishia talaka????
Halahalq usitishie kujamba.a wakati unaharisha...
Tatizo ndo hilo. Hawa wanyama ukionyesha tu kuwapenda kwa dhati ndo ujue umejipeleka Segerea mwenyewe.Wakubwa wenzangu habarini za weeekend kwangu mimi weekend yangu haiko powaa kabisaa
Mke wangu ni mzuri ana hofu ya mungu ana kazi pia ananipenda ila huwa ana tabia ya kununa hovyo yaani hataki kukosolewa yaani kila nikimkosoa tutakaa siku tatu bila kuongea akiwa kanuna yaani lazma nimuombe msamaha hata kama kanikosea
Pia huwa ana tabia ya kunijaribu sanaa kama kuna kipindi nilimkuta anaongea na mtu usiku nikamwambia SIKUAMINI nakumbuka usiku ule ule alichukua begi lake akaondoka yaaani ndugu zangu nilifikilia sanaa nilipoksea sikupaonaa ila sikukata tamaa nikzidi kumwomba arudi home niliomba msamaha sanaa kisha akakuali akarudi
Kipindi kingine nilipika viazi na nyama nikazidisha mchuzi sikuamini macho yangu yaaani mamaa alikasilika sanaaa akakataa kula akaondoka kwa hasiraa kwenda kulala kwa dadaake kule pia nilitumia nguvu kubwa kumrudisha
Sasa hii ya sasa ndo imenikatisha tamaa yaani niko kikazi tanga mke wangu kuwa anapiga simu mda wote akidai kanimis nikamwambia ntarudi alhamis but nilipata emergrncy mke akakasirika sanaaa huku akisistiza simthamini pia akidai tuachene tuu sasa jana ndio nilirudi home akanipokea vizuri tuu nikamwomba msamaha kwa kumpa feki promis akasema kanismehe kumbe ana yake moyoni
alikataa kuongea na mimi tangu jana bila mimi kujua sababu hadi asubuhi namuaga naenda kazini kumalizia kipolo cha kazi akakasilika zaidi akaondoka pia kazini kwake bila hata kuniaga kitendo kile kimenishangaza sanaaa
Sasa ntaka nifanye mmamuzi magumu naona antaka ajifanye mwanamme ndani ya nyumba ntaka nimpe taraka naombeni ushauri