venossah
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 2,744
- 3,997
Mwe,mwe,mwe..mdudu nani?Antikiburi ipo mkuu....mm saiv hata aje michelle obama hapa atatulia tu.....nishakuwa profesional wa hawa wadudu.
Mwe,mwe,mwe..mdudu nani?Antikiburi ipo mkuu....mm saiv hata aje michelle obama hapa atatulia tu.....nishakuwa profesional wa hawa wadudu.
Usichukie mpenz...wewe ni mdudu tena senene mtamu na anaependwa na watu....sio kila mdudu ni muharibifuMwe,mwe,mwe..mdudu nani?
oky swry sijachukia...lkn mdudu hupenda kuishi na wadudu wenzake ili waendelee kuzaliana,hasa maeneo machafu mf,jalalan,chooni nk.cyo kila mdudu hueneza magonjwaUsichukie mpenz...wewe ni mdudu tena senene mtamu na anaependwa na watu....sio kila mdudu ni muharibifu
Ila naamin wewe ni mdudu mzuri sio nzinge...oky swry sijachukia...lkn mdudu hupenda kuishi na wadudu wenzake ili waendelee kuzaliana,hasa maeneo machafu mf,jalalan,chooni nk.cyo kila mdudu hueneza magonjwa
Pole sana ila kabla ujafanya maamuzi jaribu siku umfanyie suprise kumpelek sehem iliyotulia,uwongee nae kwa lugha ya upole umuulize kwann hiyo hali inakuwepo yawezekan labda ana tatizo uwezi jua,ikishindikan shirikisha ndugu na viongoz wa dini naamini inaweza kutatua tatizo kuliko kusema muachane,ukute mna watoto sasa watoto watalelewa na wazaz tofauti huwa haipendezi,km ikishindikan hapo mpe nafas akatulize akili kwao km miez sita lzm atajifunza na atabadirikahajanizidi kipto il NIMEMPA uhuru hapa nyumbani nimemuweka wzi kwa kila kitu soo ndo maana anajiamin i sana
Naamini ww ni mpanzi siyo paradeeIla naamin wewe ni mdudu mzuri sio nzinge...
Mkuu vipi labda ulimgegeda sana akapata maumivu ndo maana akanuna. BTW vp tatizo la maumivu baada ya tendo la ndoa liliisha?Wakubwa wenzangu habarini za weeekend kwangu mimi weekend yangu haiko powaa kabisaa
Mke wangu ni mzuri ana hofu ya mungu ana kazi pia ananipenda ila huwa ana tabia ya kununa hovyo yaani hataki kukosolewa yaani kila nikimkosoa tutakaa siku tatu bila kuongea akiwa kanuna yaani lazma nimuombe msamaha hata kama kanikosea
Pia huwa ana tabia ya kunijaribu sanaa kama kuna kipindi nilimkuta anaongea na mtu usiku nikamwambia SIKUAMINI nakumbuka usiku ule ule alichukua begi lake akaondoka yaaani ndugu zangu nilifikilia sanaa nilipoksea sikupaonaa ila sikukata tamaa nikzidi kumwomba arudi home niliomba msamaha sanaa kisha akakuali akarudi
Kipindi kingine nilipika viazi na nyama nikazidisha mchuzi sikuamini macho yangu yaaani mamaa alikasilika sanaaa akakataa kula akaondoka kwa hasiraa kwenda kulala kwa dadaake kule pia nilitumia nguvu kubwa kumrudisha
Sasa hii ya sasa ndo imenikatisha tamaa yaani niko kikazi tanga mke wangu kuwa anapiga simu mda wote akidai kanimis nikamwambia ntarudi alhamis but nilipata emergrncy mke akakasirika sanaaa huku akisistiza simthamini pia akidai tuachene tuu sasa jana ndio nilirudi home akanipokea vizuri tuu nikamwomba msamaha kwa kumpa feki promis akasema kanismehe kumbe ana yake moyoni
alikataa kuongea na mimi tangu jana bila mimi kujua sababu hadi asubuhi namuaga naenda kazini kumalizia kipolo cha kazi akakasilika zaidi akaondoka pia kazini kwake bila hata kuniaga kitendo kile kimenishangaza sanaaa
Sasa ntaka nifanye mmamuzi magumu naona antaka ajifanye mwanamme ndani ya nyumba ntaka nimpe taraka naombeni ushauri
Wengine wanatabia za uswahili..wazoee maan mtu mwenye akili zako timamu uwez kuandika upuuz km huoMnayatoa wapi Maneno kama haya!!!!! Mh
Duh mko makiniMkuu vipi labda ulimgegeda sana akapata maumivu ndo maana akanuna. BTW vp tatizo la maumivu baada ya tendo la ndoa liliisha?
Huyu jamaa alileta hii story kumhusu mke
Msaada; mkewangu huwa anapata maumivu makali kila baada ya kufanya mapenzi
Wakubwa wenzangu habarini za weeekend kwangu mimi weekend yangu haiko powaa kabisaa
Mke wangu ni mzuri ana hofu ya mungu ana kazi pia ananipenda ila huwa ana tabia ya kununa hovyo yaani hataki kukosolewa yaani kila nikimkosoa tutakaa siku tatu bila kuongea akiwa kanuna yaani lazma nimuombe msamaha hata kama kanikosea
Pia huwa ana tabia ya kunijaribu sanaa kama kuna kipindi nilimkuta anaongea na mtu usiku nikamwambia SIKUAMINI nakumbuka usiku ule ule alichukua begi lake akaondoka yaaani ndugu zangu nilifikilia sanaa nilipoksea sikupaonaa ila sikukata tamaa nikzidi kumwomba arudi home niliomba msamaha sanaa kisha akakuali akarudi
Kipindi kingine nilipika viazi na nyama nikazidisha mchuzi sikuamini macho yangu yaaani mamaa alikasilika sanaaa akakataa kula akaondoka kwa hasiraa kwenda kulala kwa dadaake kule pia nilitumia nguvu kubwa kumrudisha
Sasa hii ya sasa ndo imenikatisha tamaa yaani niko kikazi tanga mke wangu kuwa anapiga simu mda wote akidai kanimis nikamwambia ntarudi alhamis but nilipata emergrncy mke akakasirika sanaaa huku akisistiza simthamini pia akidai tuachene tuu sasa jana ndio nilirudi home akanipokea vizuri tuu nikamwomba msamaha kwa kumpa feki promis akasema kanismehe kumbe ana yake moyoni
alikataa kuongea na mimi tangu jana bila mimi kujua sababu hadi asubuhi namuaga naenda kazini kumalizia kipolo cha kazi akakasilika zaidi akaondoka pia kazini kwake bila hata kuniaga kitendo kile kimenishangaza sanaaa
Sasa ntaka nifanye mmamuzi magumu naona antaka ajifanye mwanamme ndani ya nyumba ntaka nimpe taraka naombeni ushauri
Mimi ni kubwa lao...si unalijua?Naamini ww ni mpanzi siyo paradee
Huyu wake ana mwanaume wa nje hizo zote ni jeuri na sababu za kutaka kuvunja mahusiano na kuweka sababu za ndoa kushindikana kurekebishika.Tunapenda kujinunisha ila huyo wako chiboko
kwanini huwa mna tabia ya kununa nuna?Tunapenda kujinunisha ila huyo wako chiboko
Yeah..bas kakojoe ulale,kwani si ushashiba?Mimi ni kubwa lao...si unalijua?
Mimi sikojoagi...ila nina wajibu wa kuhakikisha mdudu wangu kaenda kukojoa kabla hajalala....hebu nambie ushakojoa mdudu wangu?Yeah..bas kakojoe ulale,kwani si ushashiba?
Hakufai huyo,piga chiniWakubwa wenzangu habarini za weeekend kwangu mimi weekend yangu haiko powaa kabisaa
Mke wangu ni mzuri ana hofu ya mungu ana kazi pia ananipenda ila huwa ana tabia ya kununa hovyo yaani hataki kukosolewa yaani kila nikimkosoa tutakaa siku tatu bila kuongea akiwa kanuna yaani lazma nimuombe msamaha hata kama kanikosea
Pia huwa ana tabia ya kunijaribu sanaa kama kuna kipindi nilimkuta anaongea na mtu usiku nikamwambia SIKUAMINI nakumbuka usiku ule ule alichukua begi lake akaondoka yaaani ndugu zangu nilifikilia sanaa nilipoksea sikupaonaa ila sikukata tamaa nikzidi kumwomba arudi home niliomba msamaha sanaa kisha akakuali akarudi
Kipindi kingine nilipika viazi na nyama nikazidisha mchuzi sikuamini macho yangu yaaani mamaa alikasilika sanaaa akakataa kula akaondoka kwa hasiraa kwenda kulala kwa dadaake kule pia nilitumia nguvu kubwa kumrudisha
Sasa hii ya sasa ndo imenikatisha tamaa yaani niko kikazi tanga mke wangu kuwa anapiga simu mda wote akidai kanimis nikamwambia ntarudi alhamis but nilipata emergrncy mke akakasirika sanaaa huku akisistiza simthamini pia akidai tuachene tuu sasa jana ndio nilirudi home akanipokea vizuri tuu nikamwomba msamaha kwa kumpa feki promis akasema kanismehe kumbe ana yake moyoni
alikataa kuongea na mimi tangu jana bila mimi kujua sababu hadi asubuhi namuaga naenda kazini kumalizia kipolo cha kazi akakasilika zaidi akaondoka pia kazini kwake bila hata kuniaga kitendo kile kimenishangaza sanaaa
Sasa ntaka nifanye mmamuzi magumu naona antaka ajifanye mwanamme ndani ya nyumba ntaka nimpe taraka naombeni ushauri