Naachana na mke wangu rasmi

Naachana na mke wangu rasmi

mpe nafasi ya kwenda kupumzika home kwao kwa muda then wakati anapumzika awe anafikiria kama kweli anaona umuhim wa ndoa ili kama bado anaipenda ndoa afuate misingi ya ndoa na kama anaona hakuna umuhimu wa ndoa basi arudi kwao lkn washirikishe familia yake juu ya kile kinacho endelea ndani ya ndoa yenu
 
Kumbe anafanya kazi!Me nina nuksi na jobless every corner naomba mawasiliano nae!!!
 
Usichukie mpenz...wewe ni mdudu tena senene mtamu na anaependwa na watu....sio kila mdudu ni muharibifu
oky swry sijachukia...lkn mdudu hupenda kuishi na wadudu wenzake ili waendelee kuzaliana,hasa maeneo machafu mf,jalalan,chooni nk.cyo kila mdudu hueneza magonjwa
 
oky swry sijachukia...lkn mdudu hupenda kuishi na wadudu wenzake ili waendelee kuzaliana,hasa maeneo machafu mf,jalalan,chooni nk.cyo kila mdudu hueneza magonjwa
Ila naamin wewe ni mdudu mzuri sio nzinge...
 
Wanawake wanapenda sana kuombwa msamaha! anapenda msamaha mara nyingi zaidi kuliko hata anavyompenda mwanaume wake.

Mwanamke anapokuwa na hasira, takribani nusu anayoyazungumza ni kinyume chake na hayamaanishi.

Wakati mgumu sana kwa mwanamke ni wakati ambao yupo mbali na mwanaume anaempenda kwa dhati, sio mbali kimwili tu hata kihisia pia.

Usimuache mke wako mzuri na mwenye hofu ya Mungu
 
hajanizidi kipto il NIMEMPA uhuru hapa nyumbani nimemuweka wzi kwa kila kitu soo ndo maana anajiamin i sana
Pole sana ila kabla ujafanya maamuzi jaribu siku umfanyie suprise kumpelek sehem iliyotulia,uwongee nae kwa lugha ya upole umuulize kwann hiyo hali inakuwepo yawezekan labda ana tatizo uwezi jua,ikishindikan shirikisha ndugu na viongoz wa dini naamini inaweza kutatua tatizo kuliko kusema muachane,ukute mna watoto sasa watoto watalelewa na wazaz tofauti huwa haipendezi,km ikishindikan hapo mpe nafas akatulize akili kwao km miez sita lzm atajifunza na atabadirika
 
Wakubwa wenzangu habarini za weeekend kwangu mimi weekend yangu haiko powaa kabisaa

Mke wangu ni mzuri ana hofu ya mungu ana kazi pia ananipenda ila huwa ana tabia ya kununa hovyo yaani hataki kukosolewa yaani kila nikimkosoa tutakaa siku tatu bila kuongea akiwa kanuna yaani lazma nimuombe msamaha hata kama kanikosea

Pia huwa ana tabia ya kunijaribu sanaa kama kuna kipindi nilimkuta anaongea na mtu usiku nikamwambia SIKUAMINI nakumbuka usiku ule ule alichukua begi lake akaondoka yaaani ndugu zangu nilifikilia sanaa nilipoksea sikupaonaa ila sikukata tamaa nikzidi kumwomba arudi home niliomba msamaha sanaa kisha akakuali akarudi

Kipindi kingine nilipika viazi na nyama nikazidisha mchuzi sikuamini macho yangu yaaani mamaa alikasilika sanaaa akakataa kula akaondoka kwa hasiraa kwenda kulala kwa dadaake kule pia nilitumia nguvu kubwa kumrudisha

Sasa hii ya sasa ndo imenikatisha tamaa yaani niko kikazi tanga mke wangu kuwa anapiga simu mda wote akidai kanimis nikamwambia ntarudi alhamis but nilipata emergrncy mke akakasirika sanaaa huku akisistiza simthamini pia akidai tuachene tuu sasa jana ndio nilirudi home akanipokea vizuri tuu nikamwomba msamaha kwa kumpa feki promis akasema kanismehe kumbe ana yake moyoni
alikataa kuongea na mimi tangu jana bila mimi kujua sababu hadi asubuhi namuaga naenda kazini kumalizia kipolo cha kazi akakasilika zaidi akaondoka pia kazini kwake bila hata kuniaga kitendo kile kimenishangaza sanaaa

Sasa ntaka nifanye mmamuzi magumu naona antaka ajifanye mwanamme ndani ya nyumba ntaka nimpe taraka naombeni ushauri
Mkuu vipi labda ulimgegeda sana akapata maumivu ndo maana akanuna. BTW vp tatizo la maumivu baada ya tendo la ndoa liliisha?

Huyu jamaa alileta hii story kumhusu mke

Msaada; mkewangu huwa anapata maumivu makali kila baada ya kufanya mapenzi
 
Wakubwa wenzangu habarini za weeekend kwangu mimi weekend yangu haiko powaa kabisaa

Mke wangu ni mzuri ana hofu ya mungu ana kazi pia ananipenda ila huwa ana tabia ya kununa hovyo yaani hataki kukosolewa yaani kila nikimkosoa tutakaa siku tatu bila kuongea akiwa kanuna yaani lazma nimuombe msamaha hata kama kanikosea

Pia huwa ana tabia ya kunijaribu sanaa kama kuna kipindi nilimkuta anaongea na mtu usiku nikamwambia SIKUAMINI nakumbuka usiku ule ule alichukua begi lake akaondoka yaaani ndugu zangu nilifikilia sanaa nilipoksea sikupaonaa ila sikukata tamaa nikzidi kumwomba arudi home niliomba msamaha sanaa kisha akakuali akarudi

Kipindi kingine nilipika viazi na nyama nikazidisha mchuzi sikuamini macho yangu yaaani mamaa alikasilika sanaaa akakataa kula akaondoka kwa hasiraa kwenda kulala kwa dadaake kule pia nilitumia nguvu kubwa kumrudisha

Sasa hii ya sasa ndo imenikatisha tamaa yaani niko kikazi tanga mke wangu kuwa anapiga simu mda wote akidai kanimis nikamwambia ntarudi alhamis but nilipata emergrncy mke akakasirika sanaaa huku akisistiza simthamini pia akidai tuachene tuu sasa jana ndio nilirudi home akanipokea vizuri tuu nikamwomba msamaha kwa kumpa feki promis akasema kanismehe kumbe ana yake moyoni
alikataa kuongea na mimi tangu jana bila mimi kujua sababu hadi asubuhi namuaga naenda kazini kumalizia kipolo cha kazi akakasilika zaidi akaondoka pia kazini kwake bila hata kuniaga kitendo kile kimenishangaza sanaaa

Sasa ntaka nifanye mmamuzi magumu naona antaka ajifanye mwanamme ndani ya nyumba ntaka nimpe taraka naombeni ushauri


Huyo mke sio mbaya! Umemuendekeza! Kabla hujamwacha jaribu ku:

- akinuna bila sababu nyamaza na usihangaike naye, timiza majukumu yako Kama Baba, usimkomoe Ila usimwombe msamaha.

Mwanamke ukimzoesha hivyo atakupanda kichwa I!
 
Tunapenda kujinunisha ila huyo wako chiboko
Huyu wake ana mwanaume wa nje hizo zote ni jeuri na sababu za kutaka kuvunja mahusiano na kuweka sababu za ndoa kushindikana kurekebishika.

Huyo mwanamke anacho hitaji ni kusikia siku ameambiwa ondoka kwenu sikutaki tuachane....!

Kwamatukio aliyo yaeleza muhusika kama ni kweli basi mkewe kamchoka ana mtafutia sababu za kuachana nae...
 
Wakubwa wenzangu habarini za weeekend kwangu mimi weekend yangu haiko powaa kabisaa

Mke wangu ni mzuri ana hofu ya mungu ana kazi pia ananipenda ila huwa ana tabia ya kununa hovyo yaani hataki kukosolewa yaani kila nikimkosoa tutakaa siku tatu bila kuongea akiwa kanuna yaani lazma nimuombe msamaha hata kama kanikosea

Pia huwa ana tabia ya kunijaribu sanaa kama kuna kipindi nilimkuta anaongea na mtu usiku nikamwambia SIKUAMINI nakumbuka usiku ule ule alichukua begi lake akaondoka yaaani ndugu zangu nilifikilia sanaa nilipoksea sikupaonaa ila sikukata tamaa nikzidi kumwomba arudi home niliomba msamaha sanaa kisha akakuali akarudi

Kipindi kingine nilipika viazi na nyama nikazidisha mchuzi sikuamini macho yangu yaaani mamaa alikasilika sanaaa akakataa kula akaondoka kwa hasiraa kwenda kulala kwa dadaake kule pia nilitumia nguvu kubwa kumrudisha

Sasa hii ya sasa ndo imenikatisha tamaa yaani niko kikazi tanga mke wangu kuwa anapiga simu mda wote akidai kanimis nikamwambia ntarudi alhamis but nilipata emergrncy mke akakasirika sanaaa huku akisistiza simthamini pia akidai tuachene tuu sasa jana ndio nilirudi home akanipokea vizuri tuu nikamwomba msamaha kwa kumpa feki promis akasema kanismehe kumbe ana yake moyoni
alikataa kuongea na mimi tangu jana bila mimi kujua sababu hadi asubuhi namuaga naenda kazini kumalizia kipolo cha kazi akakasilika zaidi akaondoka pia kazini kwake bila hata kuniaga kitendo kile kimenishangaza sanaaa

Sasa ntaka nifanye mmamuzi magumu naona antaka ajifanye mwanamme ndani ya nyumba ntaka nimpe taraka naombeni ushauri
Hakufai huyo,piga chini
 
Back
Top Bottom