Naachana na mke wangu rasmi

Naachana na mke wangu rasmi

Tunanuna kutokana na mume alivyokukosea sio kijinunisha tu ovyo uyo ameshajua udhaifu wako unampenda sana anajua huwez ishi bila yy muache tu hakuna namna yy ndo atakaeomba msahama safari hii na akilud kashajilekebisha sisi wanawake sijui tupoje
 
Wakubwa wenzangu habarini za weeekend kwangu mimi weekend yangu haiko powaa kabisaa


alikataa kuongea na mimi tangu jana bila mimi kujua sababu hadi asubuhi namuaga naenda kazini kumalizia kipolo cha kazi akakasilika zaidi akaondoka pia kazini kwake bila hata kuniaga kitendo kile kimenishangaza sanaaa

Sasa ntaka nifanye mmamuzi magumu naona antaka ajifanye mwanamme ndani ya nyumba ntaka nimpe taraka naombeni ushauri
Mke wako ni mjamzito???
 
Dada yake naye wale wale kopo na sufuria na yote yametoboka, wengine dada zetu ukienda na mabegi mnarudi naye apate tatizo nini, wewe akiondoka usimfuate uchune cku akirudi mwambie iwe mwanzo na mwisho laa akiondoka tena kila kilicho chake achukue, au mkeo anamchepuko kuwa makini sio bure wanawake wengine kama majuha.
 
Huyo ameshakuona ndezi, akose yeye umuombe msamaha yeye, huwezi hata kuachananae huku ni kutishia mtu mzima nyau, umeshashikwa ns ukashikika, unampa sifa za kijinga eti mcha Mungu, wacha Mungu wanakuwaga hivyo? Kila mtu na msalaba wake hapa duniani pambana na wako kama alivyofanya Yesu.
 
Back
Top Bottom