Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,380
- 56,078
hhhhhhaaaahhhhaaa!;Ulipokuwa unapika viazi we Mbaba Mpaka kuzidisha chumvi yy wkt huo yupo wapi au alikuwa anaumwa..Eti Ni mlokole..au Pepo
Asante sana hili ni pepo hilii!!
hhhhhhaaaahhhhaaa!;Ulipokuwa unapika viazi we Mbaba Mpaka kuzidisha chumvi yy wkt huo yupo wapi au alikuwa anaumwa..Eti Ni mlokole..au Pepo
Teh atapata bomu zaididawa ya jeuri kiburi. mshauri ampige chini
hilo leenyewe ni zaidi ya bomu ngoja siku likimripukiaTeh atapata bomu zaidi
Ha hahilo leenyewe ni zaidi ya bomu ngoja siku likimripukia
koment zte hii nimeipenda. bora akupe nmba yke..au mbadilishne. manake wanaume wngine nux hasa..we wko unamuona mmbya na wkt kna wngine ndo wbya bora hyo.Naombe umpe namba yangu,maana namuona ni bora kuliko wangu
wote wngekua kama ww hta hyo michepko ingeanzia wp kw mfno. hongera kwa mwnye mume (mkeo/gf) kama nyie ndo mnahitajika..kumuelewa mwnmke ndo suluhishp tosha.Wanawake wanapenda sana kuombwa msamaha! anapenda msamaha mara nyingi zaidi kuliko hata anavyompenda mwanaume wake.
Mwanamke anapokuwa na hasira, takribani nusu anayoyazungumza ni kinyume chake na hayamaanishi.
Wakati mgumu sana kwa mwanamke ni wakati ambao yupo mbali na mwanaume anaempenda kwa dhati, sio mbali kimwili tu hata kihisia pia.
Usimuache mke wako mzuri na mwenye hofu ya Mungu
kwakweliWengine wanatabia za uswahili..wazoee maan mtu mwenye akili zako timamu uwez kuandika upuuz km huo
hahahahahUlipokuwa unapika viazi we Mbaba Mpaka kuzidisha chumvi yy wkt huo yupo wapi au alikuwa anaumwa..Eti Ni mlokole..au Pepo
Ulipokuwa unapika viazi we Mbaba Mpaka kuzidisha chumvi yy wkt huo yupo wapi au alikuwa anaumwa..Eti Ni mlokole..au Pepo
Ulipokuwa unapika viazi we Mbaba Mpaka kuzidisha chumvi yy wkt huo yupo wapi au alikuwa anaumwa..Eti Ni mlokole..au Pepo
aiseee nimecheka sana